Busara ipi itumike!

Busara ipi itumike!

Nipo kwenye mahusiano na dada fulani, tunaweza kusema hii kazi alinipigia promo sana, ni sekta binafsi ila ukweli ni innocent girl (hana makuu).
Tupo taasisi moja ila branches tofauti najua ananipenda ila niko na mahusiano na dada fulani namkubali sana (30+) na ndio type zangu hao ma over.
Shidaa! N jinsi ya kumkataa kiustaraabu maanake ameanza kuingiza inshu za ndoa na nyumbani wamempokea! Na wanamkubali sana.

Ipi ni njia sahihi ya kuachana naye coz amenisaidia vingi ukweli nilijua hatutafika mbali lakini amekomaa sana . Kuna baadhi ya matukio nimempiga ila bado akasamehe hata hili la mahusiano yangu mengine anajua.
Kipindi hauna kazi huyo wa type yako 30+ hakuwa na msaada na wewe.
Umepata kazi sasa hivi umekuwa jeuri. Kama ulipata kazi kupitia kwake na alikupigia promo mwambie huyo wa 30+ naye akutafutie kazi akupigie promo.
Usione umefanikiwa, safari bado😀😀😀😀
 
IMG_0482.jpeg
 
Mkuu acha basi make kiukwel napanga leo tuzungumze ili nijue chakufanya make kwasasa siwazii uhusiano huu
Maamuzi yako mikononi mwako wengine tulishafanya maamuzi zaidi ya miaka 10 iliyopita
 
Maamuzi yako mikononi mwako wengine tulishafanya maamuzi zaidi ya miaka 10 iliyopita
Unawezaje kuishi namwanamk ambae humpendi sana hiyo ndo point yangu! make kiukwel yuko sawa ila shida ndo hiyo
 
Unawezaje kuishi namwanamk ambae humpendi sana hiyo ndo point yangu! make kiukwel yuko sawa ila shida ndo hiyo
Fanya maamuzi yako mzee hayo ndio sahihi. Usijeoa huyo dada baadae ukaendelea kuchepuka na unayempenda
 
Huyo wa 30+ naye nadhani ulisema unataka kuachana nae kwasabu ya utoto,. Asa sijui unataka nini🚮
Screenshot_20250204-210251_Brave.jpg
 
Back
Top Bottom