Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Pole sana, Baba mlezi ameshinda bingo ya moyo wako hapo hata afanyeje huwezi kumpenda Baba mzazi kamwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndio dhima kuu ya ubongo, kufikiria. Ndio maana nimesema fikra zangu hizi zinaweza kua si sahihi kutokana humu tu watu wa historia,tamaduni na mila tofauti kutokea maeneo tofauti ndio maana wengine humu ni rahisi kumwambia mzazi wake kua "Nakupenda Baba" jambo ambalo Kwangu au kwetu ni kitu cha ajabu sana ajili ya mila na tamaduni za kwetu.Relax mkuu. Kuna vitu sio vya kuchukulia serious namna hii. Umewaza mpaka habari za incest,that's too much imaginationfor such an ordinary storyline!
thank you so much dear Numbie..!!Una kesi kama ya shosti angu mmoja ila yeye aliamua kusimama upande wa Mama yake na Baba mlezi. Huyo Baba mzazi muache alalamike weee atachoka mwenyewe kamwe usije umiza waliokua nawe kipindi kigumu na cha furaha.
Hawa jamaa wa hit and run ndo kawaida zao hizo. Anakimbia huku akijua kuna mimba au mtoto katelekeza anabaki kujipa matumaini atanitafuta akikua.
Ukisogeza ukaribu zaidi kituo cha pili kitakua kutembeleana,leo atataka uende huku kesho kule kesho kutwa pale.
Muheshimu tu kama mmoja wa wazazi wako.
Shukrani sana Genuine Man..!Ni Kazi sana kutengeza Bond kwa sasa.
Bond inatengenezwa toka mtoto yuko tumboni, anazaliwa.
Pale analia anabebwa na mikono ya Baba. Anamkojolea, anakua, anachezea viatu vya Baba, anamchafua, anaanza shule, anachapwa kisha anabembelezwa. And so on...... Na hakuna shortcut
Baba yako ali- mess up, asitegemee mambo yatakuwa sawa tuu.
Kwa upande wako wewe hauna kosa, usijilazimishe kumlidhisha.
thank you Vinci,Natumaini unaona hizo sehemu nilizoBold na kuwekastrikethroughKwa tamaduni zetu za kiafrika mtu ambae unamuheshimu kama mzazi hutakiwi kumu-Address kama ulivyofanya hapa, kwa muono wangu sidhani kama inaleta picha nzuri kumuita baba yako mzazi au mlezi "Huyu Mwanaume" hilo ni jina analoweza kuita mama yako pekee. Otherwise Ukifanya kama ulivyofanya hapa wengine wanaweza kuhisi kuna hali ya incest kati yenu. Maybe ndio maana nae inakua rahisi kukuita "Toto langu"
-
I'm so sorry for saying this to you I might be wrong too but my point is pinned to the fact that the way you address your father figure is not Healthy. Change!!!!
______
Rolling to the main topic!!
Kuna Father na Daddy, Father anatia mimba hajali Mtoto atakua vipi na kuishi vipi...Daddy anatia mimba na kujali kiumbe hicho alicholeta duniani kwa "Kuwepo" pembeni ya kiumbe huyo siku zote. Kwa maelezo ulivyoeleza huyo aliyekuzaa he was your father but wasn't your Daddy. Anachokifanya ni kutaka kula mavuno ya shamba ambalo hakulipalilia, jambo hili Hata Mungu kakataza. Maana anasema...
Mathayo 25:24,28,30
[24]Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;
[26]Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;
[27]basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.
[28]Basi, mnyang’anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
[30]Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.
Btw Kwakua hatujajua kisa cha mzazi halisi kukutelekeza basi Siwezi mlaumu. Ila cha msingi ongea na mama yako akupe kisa chote cha baba yako kukuacha kisha msikilize na baba yako pia upande wako then wewe mwenyewe utaamua cha kufanya. Choose wisely
Obvious naamini baba yako anachotaka ni kupata recognition ya kua wewe ni mtoto wake if so basi mpatie. Mjulie hali hata kwa simu mara moja moja mtembelee, ila mapenzi kwa baba mlezi usipunguze kamwe.
Duh!... Maneno mazito sana haya.Huyo baba yako mzazi; kaa naye kwa kina mwambie tu you are at peace with him, unamtambua kama baba yako mzazi; ila huwezi kuwa karibu naye kama anavyotamani. Ni mtoto wake kwa kukuzaa; but alishauza hiyo haki kwa mwanaume mwingine.
Kumuumiza yule baba, ni dhambi ambayo sina pa kuitubu.!My dear huyo ni sperm donor sio baba akao anaona haya na kuumia kwa kua umelelewa vzr umekua vzr mama na mwanaume mwingine wameplay part vzr usije kumuumiza aliyekula nawe toka utotoni rafiki,jus mchukulie kama wengine.Jiulize ungekua jambazi au huna direction angekutafuta?!!achana nae
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Upo sahihi ila hakuna sumu yoyote nimelishwa, the fact that he won't there ni sumu niliyokula mwenyewe tayari..!Yaani umeshauri kitaalam sana big up watu kama wewe ni wachache! Mtoto anaweza kulishwa sumu ya maneno na akajenga chuki bila kujua upande wa pili
thank you Smart Ghost, you real are the best..! Nitafanyia kazi ushauri wako..!!Relax mkuu. Kuna vitu sio vya kuchukulia serious namna hii. Umewaza mpaka habari za incest, that's too much imagination for such an ordinary storyline!
Back to the topic, nimeona vitu kadhaa:
- Baba mzazi hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko aliko. Ndugu mleta mada, do you really think the old man angekutafuta kama huko aliko angepata mabinti kadhaa? Hata usinijibu hili swali.
- Baba mlezi hajui kama unawasiliana na baba mzazi. You're about to hurt that old man. Sisi wanaume tunakuaga very territorial. Once we have what we consider to be family, haturuhusu another man aingilie chain of command and how we're running the show. Mlezi akigundua baba mzazi is back, and you're sneaking behind his back, ataumia kinoma. Ni either umwambie mwenyewe, au uache ku-hangout na upande wa baba mzazi.
- Hakuna bond kati yako na baba mzazi, zaidi ya baiolojia iliyokuleta duniani. Umekua na undugu na upande wa baba mlezi. Brothers, sisters na wengineo, they all consider you one of their very own. Huko kwa baba mzazi hautaweza kutengeneza bond mpya, na kama ukiweza kuna mahala utavunja kwa ndugu zako wa upande wa baba mlezi. Pick your side wisely sweetheart!
Kwa upande wangu, undugu sio kushare damu. Undugu ni nani yuko na wewe through thick and thin. Nani anaguswa na shida zako? nani anaumia ukipitia magumu? Binafsi, kuna washkaji tu nawathamini kuliko "ndugu". It's because they've got my back when shit goes down!
Nashauri ukae na baba mzazi, umpe ukweli. Mwambie nakutambua mzee, and I do respect you. Ila hatuwezi kua na bond like family. I already belong somewhere else. Kuna watu wamenikuza like one of their own, itakua ngumu kuswitch sides kwa sasa. Tuendelee tu hivihivi.
Ukimaliza hapo, rudi kwa Baba mlezi umpe picha nzima. And maybe, muulize anashauri nini. It will make him feel better, kuliko kukaa kimya huku akiwa anajua kinachoendelea.
NB: kumbe mleta mada uko na light skin sio? Uko na kapicha tuone?
Baba mwenyewe alisema ulikuwa ni ujana na anajutia, hivyo it was never My Ma's fault..!duh! haya mambo yapo sana kwa sisi tunaoishi na masingle mother, ila pia unatakiwa kuelewa kuwa huyo baba ako mzazi aliachana na ur mumy kwa7bu zipi! usukute labda alifumaniwa, au usikute labda huyo baba ako mzazi ndiye aliyeharibu mahusiano yake kayi ya baba mlezi na mama ako
Big C'ssy..!Lil sis don't stress yourself; Wala hata usiwaze huyo baba yako anajisikiaje; sio shida zako hata kama umemsamehe.
Baba yako ni mtu selfish; wakati wewe unamuhitaji kwenye maisha yako; yeye hakuwa tayari. Muda huu yeye anakuhitaji wewe na anakulazimishia; sio sawa.
Ukweli ni kwamba sio kila mwanaume ni baba. Kuna watu wengi waliolelewa na baba zao; lakini hicho alicho/anachokupa baba yako mlezi; kuna millions of people hawajawahi kuki_experience. Mshukuru huyo baba yako mlezi sanaaaaa. Hujapata ombwe/ trauma kwa sababu ya kutokulelewa na baba; kwa sababu yeye aliamua kuwa baba ambaye hukuwa naye. Mimi ninajua umuhimu wa uwepo wa baba kwenye maisha ya mtoto wa kike; kwa kukukubali wewe na kukufanya mtoto wake uuuh; kitu kikubwa mnoooo, ni neema.
Tena mama yako mmmh basi tu; mimi binafsi ningekupa na surname ya huyo baba mlezi period; ingebaki tu damu yake kwako maana haiwezi kutolewa. Ubaba sio tu kumwaga mbegu; ubaba ni malezi. Baba ni yule anayejua umekula nini, umevaa nini, umelala wapi; anakupenda, anakujali, anakufundisha, anakuoyna, anakuwa concerned na wewe kwa Kila hali. Ukiumwa, ukiwa na changamoto yoyote; he is always there you. Huyo ndiyo baba na hicho kinacho-form bond kati ya mtoto na mzazi. You are an absentee parent; don't expect any bond with your child
Huyo baba yako mzazi; kaa naye kwa kina mwambie tu you are at peace with him, unamtambua kama baba yako mzazi; ila huwezi kuwa karibu naye kama anavyotamani. Ni mtoto wake kwa kukuzaa; but alishauza hiyo haki kwa mwanaume mwingine.
Nenda kamwambie baba yako mlezi ukweli wote; asije akakuona you are an ingrate. Naamini amefanya Kila kitu kwenye maisha yako kwa sababu ya upendo na sio kungoja shukrani. But kiubinadamu tu; mpe tu shukrani zake; una deni juu yake. Mpe na msimamo wako juu ya huyo baba yako mzazi. Hakikisha baba yako mlezi ana amani juu yako. Don't lose than man, don't hurt him, don't disappoint him. Make him proud; isije siku akasema "mtoto wa watu ni wa watu tu".