Busara kidogo inahitajika katika hili

Busara kidogo inahitajika katika hili

Aisee pole sanaa.. Daah maza alizingua sana!!
Nilisemaga ikitokea nimeachwa bora nisiolewe mpk kifo ila sio kuwaacha wanangu kwa mwanaume kama anawapenda atawahudumia popote nilipo!
Na sitaona aibu kusema Nina watoto !!
Wamama wengine wana maamuzi ya ajabu sana mpk washangaa

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
It doesn't matter kujua the background, he is a shit man and thats the best way to describe him, period

Niko na same situation ila mimi ni wakiume, mzee amerudi after 25 good years eti anataka namba yangu ya simu, nikamwambia mama asimpe sina simu kama anataka kitu akwambie.

Sina mawasiliano na sitarajii kuwa na mawasiliano naye in anyway round despite the fact sijalelewa na baba mlezi, its a one woman's show mpaka namaliza my first degree. Nimekosa nini am happy with my life sihitaji uwepo wake kabisaaa

Bad enough sijazoea kumuita mtu baba siwezi kabisa. So please don't entertain those fuckers muhimu ni wewe ujifunze kupitia yeye na uwe a better man for ya family
Aseehhh!!!nimeumia sana!!!Mungu akupiganie my broohh!naimani utakua baba mzuri!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Nilimaanisha vp kamaq jamaa alijitokeza akataka kutoa support ila bimdashi akagoma kwakua tayar yuko kwenye ndoa mpya na hataki ku compromise the family??
Sio rahisi mwanamke kukataa matunzo ya mtoto wake!wanaume wengi wazinguaji broo!hawanaga sababu za msingi za kutelekeza watoto wanakuwaga selfish mnoo!!wanakataa watoto kimasihara mnooo baadae wanajuta!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
this is too much exaggeration mkuu
Hakuna exaggeration hapo ndo ukweli huoo!!!bitter truth..hakuna sababu ya kukataa mtoto wako!hudumia tu hata kumfungulia akaunti kwa siri unamuwekea pesa!
Ukweli ni kua amerudi kwa kua amefanikiwa kulelewa vzr ,carleen amekuba binti mzuri ,hana mtoto wa kike!
Lau kama angekua teja, direction less asingethubutu kumfuata nafsi inamsuta mnooo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Sio rahisi mwanamke kukataa matunzo ya mtoto wake!wanaume wengi wazinguaji broo!hawanaga sababu za msingi za kutelekeza watoto wanakuwaga selfish mnoo!!wanakataa watoto kimasihara mnooo baadae wanajuta!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe Ila iko hivi..ngoja nikupe mfano mmoja halisi tu.kuna dada mmoja Nina abudu pamoja nae kanisani.Huyu yy akiwa chuo alipata mimba na hawakuweza fanya maisha pamoja.Hyu dada akaja olewa na mtu mwingine ambapo kwenye familia hii mpya amezaa watoto wa3 mpaka sasa.Baba wa mtoto wake yaan mzaz mwenza yule aliyemkataa akajaga akajitokeza akataka kuanza kutoa matunzo kwa mtoto.Huyu sister kwa kujali ndoa yake na kwakua Alisha surrender malezi ya mtoto kwa mumewe guy wa ndoa,akamgomea kata kata baba mzaz wa mwanaye kwamba hahitaji chochote toka kwake Wala suala la matunzo.Family yake Ina mudu yote asubir mtoto akikua atamtafuta.

Ili asi compromise ndoa yake, akampata taarifa mumewe kuwa mzazi mwenza kamtafuta kuhusu ishu za mtoto na akampa feedback ya kilichotokea.
Baba mlezi akawa mwelewa tu akasema mwache amtunze mtoto wake na Kama ni matumizi acha atume hivyo tu.

Huyu sister akatumia akili akamwambia mzaz mwenza ambaye ni baba wa mtoto kwamba "Sitaki mahusiano Wala mawasiliano na wewe,kwa habari ya chochote kinachomuhusu mtoto mtafute baba yake (mlezi) ndio uwe unamtafuta na muwasiliane nyie ..Taarifa yotote toka kwako nitaipata kwa mume wangu(baba mlezi)."

Sasa huoni Kama huyu mama aligomea kabisa matunzo Kama so hekima ya baba mlezi kutumika? Na hataki mawasiliano na mzaz mwenzake mpaka leo..so Kama ni kumwona mtoto, jamaa anampigia cm mwanaume mwenzie then mama mtoto ndio anapewa taarifa.
 
Hakuna exaggeration hapo ndo ukweli huoo!!!bitter truth..hakuna sababu ya kukataa mtoto wako!hudumia tu hata kumfungulia akaunti kwa siri unamuwekea pesa!
Ukweli ni kua amerudi kwa kua amefanikiwa kulelewa vzr ,carleen amekuba binti mzuri ,hana mtoto wa kike!
Lau kama angekua teja, direction less asingethubutu kumfuata nafsi inamsuta mnooo!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Kwan faida ya huo utoto wa like ni Nini mkuu na mtu tayar ana watoto na uwezo tu wa maisha yake...Kama kaishi miaka yote hiyo bila huyo mtoto wa kike then Kuna kipya gaaan ambacho kinaweza make the difference now...?
 
Nakubaliana na wewe Ila iko hivi..ngoja nikupe mfano mmoja halisi tu.kuna dada mmoja Nina abudu pamoja nae kanisani.Huyu yy akiwa chuo alipata mimba na hawakuweza fanya maisha pamoja.Hyu dada akaja olewa na mtu mwingine ambapo kwenye familia hii mpya amezaa watoto wa3 mpaka sasa.Baba wa mtoto wake yaan mzaz mwenza yule aliyemkataa akajaga akajitokeza akataka kuanza kutoa matunzo kwa mtoto.Huyu sister kwa kujali ndoa yake na kwakua Alisha surrender malezi ya mtoto kwa mumewe guy wa ndoa,akamgomea kata kata baba mzaz wa mwanaye kwamba hahitaji chochote toka kwake Wala suala la matunzo.Family yake Ina mudu yote asubir mtoto akikua atamtafuta.

Ili asi compromise ndoa yake, akampata taarifa mumewe kuwa mzazi mwenza kamtafuta kuhusu ishu za mtoto na akampa feedback ya kilichotokea.
Baba mlezi akawa mwelewa tu akasema mwache amtunze mtoto wake na Kama ni matumizi acha atume hivyo tu.

Huyu sister akatumia akili akamwambia mzaz mwenza ambaye ni baba wa mtoto kwamba "Sitaki mahusiano Wala mawasiliano na wewe,kwa habari ya chochote kinachomuhusu mtoto mtafute baba yake (mlezi) ndio uwe unamtafuta na muwasiliane nyie ..Taarifa yotote toka kwako nitaipata kwa mume wangu(baba mlezi)."

Sasa huoni Kama huyu mama aligomea kabisa matunzo Kama so hekima ya baba mlezi kutumika? Na hataki mawasiliano na mzaz mwenzake mpaka leo..so Kama ni kumwona mtoto, jamaa anampigia cm mwanaume mwenzie then mama mtoto ndio anapewa taarifa.
Huyo aligomewa...hapa tunazungumzia wanaume wanaokataa watoto hizi ni cases mbili tofauti
 
Hivi mnaposema mwanamke kakutegea mimba hii inakaaje? kwamba unakua hujui kukutana bila kinga inaweza sababisha mimba au huwa mna maana gani?
Mwenye lakujua siku za hatari ni nani kati ya me na ke
 
Nakubaliana na wewe Ila iko hivi..ngoja nikupe mfano mmoja halisi tu.kuna dada mmoja Nina abudu pamoja nae kanisani.Huyu yy akiwa chuo alipata mimba na hawakuweza fanya maisha pamoja.Hyu dada akaja olewa na mtu mwingine ambapo kwenye familia hii mpya amezaa watoto wa3 mpaka sasa.Baba wa mtoto wake yaan mzaz mwenza yule aliyemkataa akajaga akajitokeza akataka kuanza kutoa matunzo kwa mtoto.Huyu sister kwa kujali ndoa yake na kwakua Alisha surrender malezi ya mtoto kwa mumewe guy wa ndoa,akamgomea kata kata baba mzaz wa mwanaye kwamba hahitaji chochote toka kwake Wala suala la matunzo.Family yake Ina mudu yote asubir mtoto akikua atamtafuta.

Ili asi compromise ndoa yake, akampata taarifa mumewe kuwa mzazi mwenza kamtafuta kuhusu ishu za mtoto na akampa feedback ya kilichotokea.
Baba mlezi akawa mwelewa tu akasema mwache amtunze mtoto wake na Kama ni matumizi acha atume hivyo tu.

Huyu sister akatumia akili akamwambia mzaz mwenza ambaye ni baba wa mtoto kwamba "Sitaki mahusiano Wala mawasiliano na wewe,kwa habari ya chochote kinachomuhusu mtoto mtafute baba yake (mlezi) ndio uwe unamtafuta na muwasiliane nyie ..Taarifa yotote toka kwako nitaipata kwa mume wangu(baba mlezi)."

Sasa huoni Kama huyu mama aligomea kabisa matunzo Kama so hekima ya baba mlezi kutumika? Na hataki mawasiliano na mzaz mwenzake mpaka leo..so Kama ni kumwona mtoto, jamaa anampigia cm mwanaume mwenzie then mama mtoto ndio anapewa taarifa.
Ukisikiliza alichosema Carleen dingi ndo alifeli mwenyewe!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna wanawake wengine siku zao hazina mpangilio...tumieni mipira
Ni kweli hilo lipo sema tatizo pia wanapenda kutumia hisia badala ya akili, risk uncalculated afu yakiwafika wanaplay victim.
Kulea tunalea ila kutuma muamala kwa mtu kawekwa ndani na jamaa mwingine inaleta ukakasi mlijue hilo kama vipi leta mtoto nimlee mwenyewe
 
Hey guys..!
Huwa napenda kuja hapa na uchiinga' wa hapa na pale, ila naombeni Leo niwe serious kidogo, hii ni issue ya kweli kabisa ya maisha yangu..!!

Sijui kwanini nataka kushare kama ni ushauri nitaupokea, ila kama kuna la kujifunza mtu aweza lichukua pia likamsaidia..

Mimi ni kati ya watu wachache waliobahatika kulelewa na 'baba mlezi' kwa ule upendo ambao lije jua, ije mvua I am 100% sure siwezi upata popote pale, I hate to call it Him baba mlezi, ila huo ndiyo ukhalisia..!!

Na bahati nzuri nilipewa bahati ya kujua ukweli nikiwa mdogo, Baba hakupenda hili jambo lakini kama ningekuja kujua sasa nadhani ningedata kabisa kujua Huyu Mwanaume anayenipenda kuliko chochote kuwa He is not My Real Father...!

Nakumbuka nikiwa mdogo kabisa, nilikuwa natazama photo album ya Mama ya zamani, Nika point picha mojawapo ya mkaka ambaye alikuwa ananifanania sana sana, nikamuambia 'Mama, bila shaka huyu ndiye Fulani' (hapa nilimtaja baba mzazi kwa jina lake)..

Mama alicheka akauliza umejuaje.?? Nikamuambia nimeona tu tunavyofanana, akaniambia ni kweli ni yeye..! Hilo likaishia hapo na ni sura ya ujanani kabisa, hivyo nikabaki na wazo tu kuwa Me and that man we real look alike, maisha yakaendelea hivyo..!!

Baba mlezi ndiye Baba ambaye nimekua nikijua huyu ndiye dunia yangu, He is so proud ov Me na hivi tuko na lighting color wote, hivyo nikitembea naye natambulishwa almost everywhere like she is my first daughter, na watu wakiona hiyo rangi angavu wanajua kabisa ndiyo ni kweli na husema kabisa mmefanana hasa..!

Katika wanaume I can admit wameni spoil ni this Man, na ukubwa wangu huu imagine that man bado ananiita 'my happiness' 'totoo', 'my everything'..! ana watoto wengine wa kike kwa kiume lakini the whole family inajua kipenzi cha Baba ni nani..!

Katika watu naogopa kuumiza maishani mwangu ni huyu mwanaume, Imagine, alinambia 'binti yangu, usije kuniaibisha', hayo maneno huwa natembea nayo chochote nachofanya nawaza nisije m-dissapoint yule mwanaume, japo ni muda mrefu ila huwa yanaishi moyoni mwangu daima..!!

Baada ya yote hayo, nikiwa binti mkubwa kabisa mwaka Jana mwishoni, napokea simu ya mtu anajitambulisha kuwa Mimi ni mwanae, kwanza I was shocked sababu najua baba yangu nilishapiga naye story mchana, mpaka aliponitajia jina ndiyo nikaelewa..!!

Nikajikuta nalia machozi, sijui ni kwanini nililia vile, anyways, nilizungumza naye kwa nidhamu na utulivu mkubwa nikawa namsikiliza, akaniambia anaomba sana samahani kwa kuniacha miaka yote hiyo, na alikuwa akinitafuta sana bila mafanikio ila hivi sasa ndiyo kafanikiwa kunipata..!

Anaomba sana samahani, kwa kuniacha, kutokuwa pale kwa ajili yangu na pia kwa kumuumiza Mama, na kinachomuuma hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko alikokwenda Mimi ndiyo bintiye wa pekee, kapata watoto wa kiume woote..!!

Huruma ni kweli alikuwa anatia me nikamuambia Mimi sina tatizi lolote na wewe, ila kwa jinsi ulivyomuumiza yule Mama sijui ni kitu gani utafanya mpaka tu akuelewe na kukusamehe maneno uliyomtamkia na jinsi ulivyomuacha Mimi nikiwa tumboni na nikuambie tu ukweli hajawahi kusahau..!

Akawa anataka tuonane japo anione tu, nikamuambia ongea kwanza na Mama, ndiyo naweza nikakuona japo kwa sehemu tulizokuwepo tulikuwa jirani kiasi ila sikuweza tu kwenda kumuona bila ruhusa, na pia sikutaka kabisa kumshirikisha hili Baba nilihisi tu kama atajiskia vibaya, sijui ni kwanini nilifikiri hivyo, kama nilivyosema mwanzo sikutaka nimfanye ajiskie vibaya kwa ajili yangu kwa namna yoyote ile,

Mpaka Leo sikuwahi muambia Baba yangu chochote na yeye hakuwahi niuliza chochote japo Mama alishamuambia kuwa baba mzazi kanitafuta, Nadhani anasubiri kama nitamuambia chochote ila Mimi siwezi muambia kitu kiukweli..!!

Japo kiukweli niliwahi enda kumuona baba mzazi, I was just curious kumuona na ni kitu nilikuwa natamani sana, I can admit he is very charming person kama Mimi anapenda kufurahi mno pia.! Ila nimekaa naye na kuongea naye it's like talking to a stranger, ana maisha yake tu anajiweza lakini Ile furaha hupata nikiwa na Baba yangu mlezi it was never there.! tulifanikiwa kuongea mengi na kupiga story na akawa anajutia sana lakini on my side nilimuambia ni sawa tu nilishamsamehe..!

Tatizo linaanzia wapi, sahii analalamika anataka ule ukaribu na bond ya Baba na Mwanae, anahisi namtenga, anahisi sijamsamehe, lakini sina tatizo naye ni kuwa almost every day the only Man that came into my mind ni Baba Mlezi, the only Man niwe na siku nzuri ama mbaya lazima nimuambie na ni lazima anitafute ama nimtafute, na ukubwa huu lakini ni kawaida kuona 'Imethibitishwa' zake kwa simu yangu, huwa ananitreat bado kama vile Mimi ni kabinti kadogo, mpaka niliwahi muambia nikija olewa nitahakikisha naolewa na mwanaume anayenipenda at least nusu ya upendo wako, akacheka akaniambia tu Muombe Mungu sana na ulivyo tu huyo mwanaume kazi atakuwa nayo, nikamuambia wewe ndiyo umeniharibu lakini, akatabasamu akajibu, ipo siku nitakuja kuelewa..!

Kabla nisahau, Mama hataki ushirika naye kabisa anasema Baba anayemtambua yeye ni Baba Mlezi tu, japo yeye pia alimuambia ashamsamehe hivyo asijali aendelee na maisha yake kwa amani, Naomba nikazie hapa My Ma hajawahi nizuia Mimi kuwasiliana wala kumuona Baba sababu ni yeye ndiye alipambana nitumie jina la Baba mzazi alisema hataki nipoteze haki ya kumjua baba mzazi pia, na alikuwa anaimani sana kuwa ipo siku baba yako mzazi atarudi tu na utamuona, na kweli yakatimia..!!

tukirudi huku kwa baba mzazi, analalamika mpaka namuonea huruma lakini sipati ile feeling ya ubaba juu yake what am I supposed to do.? Na huwa ananitumia pesa za hapa na pale ananiambia vocha namuambia tu ahsante, hata ile kuita 'Baba' naona ugumu, me huwa naishi zangu kama vile he doesn't exist, nikikumbuka ni mara moja namjulia hali mpaka nikumbuke tena siyo Leo, most of the time yeye ndiye hunitafuta na malalamiko juu anahisi nafanya kusudi kumkomoa lakini hapana, moyo wangu unaishi huku kwingine toka utotoni..! anataka nikawajue ndugu zake lakini I don't feel like I do belong there, kawapa ndugu zake namba wananitafuta lakini siwafurahii all the same pia, na kumsamehe nishamsamehe lakini the bond ain't there, na malalamiko yake yananiumiza lakini nimeshindwa yafanyia kazi..!!

Nashindwa hata nimfanye nini maskiini..!!
 
thank you Vinci,
Ila haupo sahihi kufikiri unachofikiri, what I feel for that man is unexplainable, na nina haki ya kumuita vyovyote ambavyo sitendi dhambi..!

thank you once again, ushauri wako ni mzuri sana na nitaufanyia kazi pia..!
Ungekua na Kaka yako, yeye angewaza tofauti kabisa na wwe kuhusu Baba yake Mzazi! Wwe uko to emotional!!
 
I used to see this shit in movies! 🤣
Hope umeshasolve what you went through!
 
Back
Top Bottom