Busara kidogo inahitajika katika hili

Busara kidogo inahitajika katika hili

Family matters are so confusing.
Case yangu mimi japo ni tofauti .the exctly opposite na ya Carleen, mama aliniacha kw mzee akaenda kuolewa huko na muhaya mwenzie.Nimelelewa na mama mlezi .kufupisha stori ni kwamba Badae huko baba akajaga niuliza hiv unawasilanaga na mama zako wadogo? Nikamwambia " I dont feel them to be part of my life.Ndugu zangu ni hawa naowajua my whole life.Hao wengine napata tabu sana kuwazoea na sipendi kujilazimisha" ikaishia hapo
 
Family matters are so confusing.
Case yangu mimi japo ni tofauti .the exctly opposite na ya Carleen, mama aliniacha kw mzee akaenda kuolewa huko na muhuya mwenzie.Nimelelewa na mama mlezi .kufupisha stori ni kwamba Badae huko baba akajaga niuliza hiv unawasilanaga na mama zako wadogo? Nikamwambia " I dont feel them to be part of my life.Ndugu zangu ni hawa naowajua my whole life.Hao wengine napata tabu sana kuwazoea na sipendi kujilazimisha" ikaishia hapo
Aisee pole sanaa.. Daah maza alizingua sana!!
 
Relax mkuu. Kuna vitu sio vya kuchukulia serious namna hii. Umewaza mpaka habari za incest, that's too much imagination for such an ordinary storyline!

Back to the topic, nimeona vitu kadhaa:

- Baba mzazi hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko aliko. Ndugu mleta mada, do you really think the old man angekutafuta kama huko aliko angepata mabinti kadhaa? Hata usinijibu hili swali.

- Baba mlezi hajui kama unawasiliana na baba mzazi. You're about to hurt that old man. Sisi wanaume tunakuaga very territorial. Once we have what we consider to be family, haturuhusu another man aingilie chain of command and how we're running the show. Mlezi akigundua baba mzazi is back, and you're sneaking behind his back, ataumia kinoma. Ni either umwambie mwenyewe, au uache ku-hangout na upande wa baba mzazi.

- Hakuna bond kati yako na baba mzazi, zaidi ya baiolojia iliyokuleta duniani. Umekua na undugu na upande wa baba mlezi. Brothers, sisters na wengineo, they all consider you one of their very own. Huko kwa baba mzazi hautaweza kutengeneza bond mpya, na kama ukiweza kuna mahala utavunja kwa ndugu zako wa upande wa baba mlezi. Pick your side wisely sweetheart!


Kwa upande wangu, undugu sio kushare damu. Undugu ni nani yuko na wewe through thick and thin. Nani anaguswa na shida zako? nani anaumia ukipitia magumu? Binafsi, kuna washkaji tu nawathamini kuliko "ndugu". It's because they've got my back when shit goes down!

Nashauri ukae na baba mzazi, umpe ukweli. Mwambie nakutambua mzee, and I do respect you. Ila hatuwezi kua na bond like family. I already belong somewhere else. Kuna watu wamenikuza like one of their own, itakua ngumu kuswitch sides kwa sasa. Tuendelee tu hivihivi.

Ukimaliza hapo, rudi kwa Baba mlezi umpe picha nzima. And maybe, muulize anashauri nini. It will make him feel better, kuliko kukaa kimya huku akiwa anajua kinachoendelea.

NB: kumbe mleta mada uko na light skin sio? Uko na kapicha tuone?
Hii ndio point[emoji419] namshahuri muhusika achukue...

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Natumaini unaona hizo sehemu nilizoBold na kuweka strikethrough
-
Kwa tamaduni zetu za kiafrika mtu ambae unamuheshimu kama mzazi hutakiwi kumu-Address kama ulivyofanya hapa, kwa muono wangu sidhani kama inaleta picha nzuri kumuita baba yako mzazi au mlezi "Huyu Mwanaume" hilo ni jina analoweza kuita mama yako pekee. Otherwise Ukifanya kama ulivyofanya hapa wengine wanaweza kuhisi kuna hali ya incest kati yenu. Maybe ndio maana nae inakua rahisi kukuita "Toto langu"

I'm so sorry for saying this to you I might be wrong too but my point is pinned to the fact that the way you address your father figure is not Healthy. Change!!!!
______
Rolling to the main topic!!

Kuna Father na Daddy, Father anatia mimba hajali Mtoto atakua vipi na kuishi vipi...Daddy anatia mimba na kujali kiumbe hicho alicholeta duniani kwa "Kuwepo" pembeni ya kiumbe huyo siku zote. Kwa maelezo ulivyoeleza huyo aliyekuzaa he was your father but wasn't your Daddy. Anachokifanya ni kutaka kula mavuno ya shamba ambalo hakulipalilia, jambo hili Hata Mungu kakataza. Maana anasema...

Mathayo 25:24,28,30
[24]Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya;
[26]Bwana wake akajibu, akamwambia, Wewe mtumwa mbaya na mlegevu, ulijua ya kuwa navuna nisipopanda, nakusanya nisipotawanya;
[27]basi, ilikupasa kuiweka fedha yangu kwa watoao riba; nami nikija ningalipata iliyo yangu na faida yake.
[28]Basi, mnyang’anyeni talanta hiyo, mpeni yule aliye nazo talanta kumi.
[30]Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.

Btw Kwakua hatujajua kisa cha mzazi halisi kukutelekeza basi Siwezi mlaumu. Ila cha msingi ongea na mama yako akupe kisa chote cha baba yako kukuacha kisha msikilize na baba yako pia upande wako then wewe mwenyewe utaamua cha kufanya. Choose wisely

Obvious naamini baba yako anachotaka ni kupata recognition ya kua wewe ni mtoto wake if so basi mpatie. Mjulie hali hata kwa simu mara moja moja mtembelee, ila mapenzi kwa baba mlezi usipunguze kamwe.
Umeanza vizuri umemaliza vibaya apo mwisho

Sorry to say this!
 
Relax mkuu. Kuna vitu sio vya kuchukulia serious namna hii. Umewaza mpaka habari za incest, that's too much imagination for such an ordinary storyline!

Back to the topic, nimeona vitu kadhaa:

- Baba mzazi hakufanikiwa kupata mtoto wa kike huko aliko. Ndugu mleta mada, do you really think the old man angekutafuta kama huko aliko angepata mabinti kadhaa? Hata usinijibu hili swali.

- Baba mlezi hajui kama unawasiliana na baba mzazi. You're about to hurt that old man. Sisi wanaume tunakuaga very territorial. Once we have what we consider to be family, haturuhusu another man aingilie chain of command and how we're running the show. Mlezi akigundua baba mzazi is back, and you're sneaking behind his back, ataumia kinoma. Ni either umwambie mwenyewe, au uache ku-hangout na upande wa baba mzazi.

- Hakuna bond kati yako na baba mzazi, zaidi ya baiolojia iliyokuleta duniani. Umekua na undugu na upande wa baba mlezi. Brothers, sisters na wengineo, they all consider you one of their very own. Huko kwa baba mzazi hautaweza kutengeneza bond mpya, na kama ukiweza kuna mahala utavunja kwa ndugu zako wa upande wa baba mlezi. Pick your side wisely sweetheart!


Kwa upande wangu, undugu sio kushare damu. Undugu ni nani yuko na wewe through thick and thin. Nani anaguswa na shida zako? nani anaumia ukipitia magumu? Binafsi, kuna washkaji tu nawathamini kuliko "ndugu". It's because they've got my back when shit goes down!

Nashauri ukae na baba mzazi, umpe ukweli. Mwambie nakutambua mzee, and I do respect you. Ila hatuwezi kua na bond like family. I already belong somewhere else. Kuna watu wamenikuza like one of their own, itakua ngumu kuswitch sides kwa sasa. Tuendelee tu hivihivi.

Ukimaliza hapo, rudi kwa Baba mlezi umpe picha nzima. And maybe, muulize anashauri nini. It will make him feel better, kuliko kukaa kimya huku akiwa anajua kinachoendelea.

NB: kumbe mleta mada uko na light skin sio? Uko na kapicha tuone?
Nice one, but please rephrase your paragraph number 6, i thinks there's no need to that
 
Umenena vyema mzee wa kimsihara.Maan watu badala ya kutoa ushuri wamejikita sana kumshutumu huyu mzee....

Mimi pia sishauri Carleen ajisumbue kw lolote na huyu mzee ila we rest hatujui the bckground...tusimhukumu mzee wa watu
It doesn't matter kujua the background, he is a shit man and thats the best way to describe him, period

Niko na same situation ila mimi ni wakiume, mzee amerudi after 25 good years eti anataka namba yangu ya simu, nikamwambia mama asimpe sina simu kama anataka kitu akwambie.

Sina mawasiliano na sitarajii kuwa na mawasiliano naye in anyway round despite the fact sijalelewa na baba mlezi, its a one woman's show mpaka namaliza my first degree. Nimekosa nini am happy with my life sihitaji uwepo wake kabisaaa

Bad enough sijazoea kumuita mtu baba siwezi kabisa. So please don't entertain those fuckers muhimu ni wewe ujifunze kupitia yeye na uwe a better man for ya family
 
Kukosana kupo tu kwenye relationshis hasa kipind ch mimba zisizo rasmi.
Najiuliza tu.....wht kama jamaa hapo nyuma alitaka kurud ila akakuta mama kashaolewa na baba mlezi ana provide..wht if kama jamaa akaona si busar ku intrude akaharib mahusiano y family y ex wake so akaamua ku sacrifise asilet mikanganyiko ya kifamilia?? What if? Najiuliza
Hata kama angekuta huyo mama kaolewa bado haimpi sababu kutohudumia mtoto wake...kukosana na mama mtoto haitoi sababu mzee kuingia mitini alafu badae eti anarudi anarudi kufanya nini na hakusimamia nafas yake kama baba.

Shameless
 
It doesn't matter kujua the background, he is a shit man and thats the best way to describe him, period

Niko na same situation ila mimi ni wakiume, mzee amerudi after 25 good years eti anataka namba yangu ya simu, nikamwambia mama asimpe sina simu kama anataka kitu amwambie mama yangu.

Sina mawasiliano na sitarajii kuwa na mawasiliano in anyway round despite the fact sijalelewa na baba mlezi, its a one woman's show mpaka namaliza my first degree. Nimekosa nini am happy with my life sitaji uwepo wake kabisaaa

Bad enough sijazoea kumuita mtu baba siwezi kabisa. So please don't entertain those fuckers muhimu ni wewe ujifunze kupitia yeye na uwe a better man for ya family
Pole sana...anarudi kipindi hiki ukute ashakua mzee pesa hakuna anajua ana jembe lake mahala aje aponee kwako.
 
Ukimaliza hapo, rudi kwa Baba mlezi umpe picha nzima. And maybe, muulize anashauri nini. It will make him feel better, kuliko kukaa kimya huku akiwa anajua kinachoendelea.
Her 'step daddy' needs to hear it straight from her.

Sijui kwanini nimekumbuka mstari huu toka kwenye lyrics za Dear Mama wa Tupac Shakur
"No love from my daddy, 'cause the coward wasn't there
He passed away and I didn't cry, 'cause my anger
Wouldn't let me feel for a stranger
They say I'm wrong and I'm heartless, but all along
I was lookin' for a father, he was gone"

Ila nimekaa naye na kuongea naye it's like talking to a stranger, ana maisha yake tu anajiweza lakini Ile furaha hupata nikiwa na Baba yangu mlezi it was never there.!
 
It doesn't matter kujua the background, he is a shit man and thats the best way to describe him, period

Niko na same situation ila mimi ni wakiume, mzee amerudi after 25 good years eti anataka namba yangu ya simu, nikamwambia mama asimpe sina simu kama anataka kitu amwambie mama yangu.

Sina mawasiliano na sitarajii kuwa na mawasiliano in anyway round despite the fact sijalelewa na baba mlezi, its a one woman's show mpaka namaliza my first degree. Nimekosa nini am happy with my life sitaji uwepo wake kabisaaa

Bad enough sijazoea kumuita mtu baba siwezi kabisa. So please don't entertain those fuckers muhimu ni wewe ujifunze kupitia yeye na uwe a better man for ya family
Sawaa..u r right to judge cz u r the story n u know everythng
 
Hata kama angekuta huyo mama kaolewa bado haimpi sababu kutohudumia mtoto wake...kukosana kwa wazazi hakuwapi sababu kugoma kutoa huduma kwa mtoto/watoto huu ni utegezi wa majukumu.
What if kama hakuta hilo?
 
Pole yako, lakini umwambie tu kwa lugha rahisi na ya kueleweka kua sio rahisi kujenga bond anayoitaka yeye kwa sasa kwani bado ni mapema mno.

Huo usumbufu ni kwa vile tu hajaishi na ww mda mrefu, mkizidisha ukaribu trust me lazima mtakuja kuzinguana coz bado hamjuani hata kidogo.
 
Nilimaanisha vp kamaq jamaa alijitokeza akataka kutoa support ila bimdashi akagoma kwakua tayar yuko kwenye ndoa mpya na hataki ku compromise the family??
Sioni mahusiano ya mama kuolewa na kukataa baba halisi asihudumie mwanae labda kama alitaka warudishe mahusiano lakin bado haimpi sababu mwanaume kupotea na kurud baada ya miaka yote hiyo.
 
Back
Top Bottom