Busara kidogo inahitajika katika hili

Relax mkuu. Kuna vitu sio vya kuchukulia serious namna hii. Umewaza mpaka habari za incest, that's too much imagination for such an ordinary storyline!
Hiyo ndio dhima kuu ya ubongo, kufikiria. Ndio maana nimesema fikra zangu hizi zinaweza kua si sahihi kutokana humu tu watu wa historia,tamaduni na mila tofauti kutokea maeneo tofauti ndio maana wengine humu ni rahisi kumwambia mzazi wake kua "Nakupenda Baba" jambo ambalo Kwangu au kwetu ni kitu cha ajabu sana ajili ya mila na tamaduni za kwetu.

But kwa zile mila Common za muafrika sidhani kama ni vyema kumuita baba yako kua "This man,Huyu Mwanaume, yule Mwanaume". Mbele ya watu wazima utaonekana una utovu wa nidhamu na heshima.

Je wewe binafsi unaweza au unaona kwako sawa ukiwa mbele ya marafiki au ndugu zako unamu-Address mama yako kwamba "Yule mwanamke, huyu mwanamke, That woman, n so so so...? Unaona kwako hilo ni sawa kulifanya.??

Lakini pia bado naweza kua sipo sahihi kwa hili nililoeleza hapa, so mtakaonielewa vibaya mnisamehe.. Being Right is relative...I might be right because I fed your Ego and I might be wrong coz ain't fed your Ego

Btw ningependa mjadala wa kuhusu Kumuita mzazi huyu au yle uishie hapa maana sio lengo kuu la mtoa mada. Tujikite sasa katika mada!
 
thank you so much dear Numbie..!!
 
Shukrani sana Genuine Man..!
 
Naandika applications nikimaliza nakuja inbox tuone tunatackle vipi hii incident
 
thank you Vinci,
Ila haupo sahihi kufikiri unachofikiri, what I feel for that man is unexplainable, na nina haki ya kumuita vyovyote ambavyo sitendi dhambi..!

thank you once again, ushauri wako ni mzuri sana na nitaufanyia kazi pia..!
 
Anataka kuvuna asichopanda
Sasa wewe hiyo bond utaitoa wapi, mtakuwa mmeipanda lini, au ndo damu nzito kuliko maji.

Muhimu ni kumsamehe na kumheshimu basi
Hayo mengineyo anafosi tu kwa sababu ya guilty
Shukrani sana mpendwa..!
 
Kumuumiza yule baba, ni dhambi ambayo sina pa kuitubu.!
Shukrani my dear Rey..!!
 
Yaani umeshauri kitaalam sana big up watu kama wewe ni wachache! Mtoto anaweza kulishwa sumu ya maneno na akajenga chuki bila kujua upande wa pili
Upo sahihi ila hakuna sumu yoyote nimelishwa, the fact that he won't there ni sumu niliyokula mwenyewe tayari..!
Ahsante.
 
thank you Smart Ghost, you real are the best..! Nitafanyia kazi ushauri wako..!!
 
Baba mwenyewe alisema ulikuwa ni ujana na anajutia, hivyo it was never My Ma's fault..!
 
Big C'ssy..!
this made me cry..!
Hii pasaka nitaonana na Baba Mlezi na nitamuambia ukweli, sikuwa nimeonana naye this soon pia ndiyo sababu.!
Nazipenda hizi busara zako mno, Mungu akujazi heqma daima C'ssy..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…