Bush stars na Born Town first eleven.....


Mamaaah nifah na wewe unakujaga huku! Cc tumewazoea cute b na dada everlenk. Nasikia madenge alisajiliwa toka born town. Ndio maana anavaaga shati.
 
Ilichukua muda mrefu sana kutaka kujua jinsia ya Kipepe aiseeee....!!

Kumbe na wewe ni wa kale kama mie, mi nilijua ni mmoja wa wale wavaa milegezo looh.
Wakati huo nikitoka kazini Sani ndo ilikuwa burudisho langu hasa hadithi ya Obi ngumi kati ya Zena na Betina. Nikimaliza kusoma nasikitika mahoka na pwagu na pwaguzi.
Bila kumsahau chakubanga wa gazeti la uhuru.
 
Mamaaah nifah na wewe unakujaga huku! Cc tumewazoea cute b na dada everlenk. Nasikia madenge alisajiliwa toka born town. Ndio maana anavaaga shati.

Ohoooo huna habari kumbe?
Mimi ni shabiki wa kutupwa wa Dar Young Africans S.C na Arsenal FC.
Naujua mpira na kuupenda sana.
 
Last edited by a moderator:

Hapa leo imebidi hawa vijana walio zaliwa kipindi cha vidonge na sindano wasipite karibu aiseeee......
nakumbuka nimeanza kulisoma gazeti la sani miaka ya 80's ya kati, hahaahaaaa.....
 

Attachments

  • 1443551963544.jpg
    13.1 KB · Views: 384
Hapa leo imebidi hawa vijana walio zaliwa kipindi cha vidonge na sindano wasipite karibu aiseeee......
nakumbuka nimeanza kulisoma gazeti la sani miaka ya 80's ya kati, hahaahaaaa.....

Mkuu mbona mimi ni wa 90's lakini niko na nyie hapa?
Napenda kujisomea,haijalishi umri katika mambo kama haya.
 
Mamaaah nifah na wewe unakujaga huku! Cc tumewazoea cute b na dada everlenk. Nasikia madenge alisajiliwa toka born town. Ndio maana anavaaga shati.

Ha ha haa mbona mimi hujaniita dada? Unampendelea tuu everlenk hamna shidaa..
Mkuu humwonagi nifah? Huyo ni mtoto wa wenger walioshindi kombe la sahani na mechi yao ya EPL iliyopita dhid ya chelbus walifungwa na timu ya refa fc aka mike dean...
Jana pia wamefungwa..
Ha ha ha ngoja nikajifiche kwanza
 
alikuwa jinsia gani mkuu?

Aliwahi mkosa sungura kwa kirungu, then rungu lilipo mgeukia na kupa ya sura teh tehh......
Kipepe alikula mzinga wa hatari, kichwa chini na mihuku ikifuatiwa na miguu ikingali hewani hata kijinguo cha chini kikimuacha bayana, huku maungo yake ya chini yakibaki hadharani aiseee......
kwikwiikwiiiii......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…