Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heheeee!! Naona dawa imekuingia kisawa sawa! Sasa tulia hivyo hivyo ili umalize Dozi labda utapunguza kuongea Utumbo
Nimeumia au nimekudharau? Ha ha ha nimekuona kama tahira tuu na chakubimbie usiyejua kufanya yako...Usiseme yasiyonihusu hiyo kauli yako ya Chelsea eti imesaidiwa na Refa unaitembeza kila jukwaa!! Kifupi huna jipya!! Halafu usipende kutumia lugha chafu,kama na mimi nitaamua ku deal na wewe kwa lugha chafu sijui kama hutokimbia humu!! Twende kwa kuheshimiana tu,acha ku panic unapoambiwa ukweli,wanasema ukweli unauma,


mastaa walikua mzee meko na kobelo
Nimeumia au nimekudharau? Ha ha ha nimekuona kama tahira tuu na chakubimbie usiyejua kufanya yako...
Eti lugha safi wew mwewe niniii? Wew ulitumia safi?
Sasa ni hiviii...
Arsenal walifungwa mbili na marefa fc.... kikikuuma kunya boga au kaogelee kwenye assid.. umesikia wew cha umbeaa? View attachment 293259
Pasukaaaa kama umevimba..hivyo yani.
View attachment 293260
Naona umeanza kujikataa mwenyewe heheeee!! Mwenye kudharau hunyamaza sio wewe Kichwa cha Kuku na vipicha vyako vya Fesibuku😆
Mkuu naona unabembeleza kwa kujisogeza ubavuni,good lucky
kizazi cha kikwete sio rahisi kukumbuka kina lord lofa pimbi
Huyu golden boy Mapungo nakumbuka hadi alipata usajili kucheza CHELSEA akaishia kuspend na mademu wa kizungu huko uzungunimmmh mi nakumbuka kitintale...mayuku....ila hawa hawakuwa wachezaji!mchezji namkumbuka golden boy mapung'o
Kuna training session moja hiyo jamaa walikuwa wanachemshwa kwenye sufuria kubwa afu moto mkali unachochewa ili kuwakomaza wachezaji ..............dah ilikuwa ni hatareeEeh bwana ilikuwa hatari sana.
Mimi nilikuwa napenda yale madongo wanayopeana wakati wa game.
Wa vijijini wakiwatuhumu wa mjini kuwa ni warembo/walaini kama watoto wa kike, wa mjini wakiwatuhumu wa vijijini wachafu na ushamba wao.
Bila kusahau mazoezi makali ya Bush Stars....daah!
aliwahi kwenda na chelsea pia huyu jamaaMapung'o japo alikua ni mtu wa bata sana.. Jamaa alikua hatari sana mbele ya goli.. Nakumbuka aliwahi kusajiliwa uarabuni kutokana na uwezo wake uwanjani.
huyo jamaa alikuwa anaitwa profesa ndumilakuwili............Wakuu kunayule jamaa katikati ya game akatupia mzinga wa nyuki game ikaisha hapohapo, Bob mikwara mzee wa mikwara, Sokomoko mzee wa tungi kuna yule jamaa alikua mwizi sana nimesahau asee zamani raha sana!
nakumbuka hapo ulikuwa unawaona akina 50 cent wanapasua kuni na mademu wengine mastaakipindi hko wakipepeta mchele huko jikoni.................Wale jamaa waliokuwa wanachora zile katuni walikua mahiri sana kwa simulizi kwakweli sasa hivi hata sijui wako wapi...kuna katuni maarufu pia kwnye jarida la Bongo nadhan sijui anaitwa Maprosso alikua na hela nyingi sana. ....hata simulizi ya kifo cha 2Pac Shakur jamaa walielezea kwa michoro as if ni movie kabisa...Yaani nilikua nafuatilia sana yale majarida kiasi kwanza ukililosa kwa wiki hilo unajisikia vibaya sana.
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...
Eeh bwana ilikuwa hatari sana.
Mimi nilikuwa napenda yale madongo wanayopeana wakati wa game.
Wa vijijini wakiwatuhumu wa mjini kuwa ni warembo/walaini kama watoto wa kike, wa mjini wakiwatuhumu wa vijijini wachafu na ushamba wao.
Bila kusahau mazoezi makali ya Bush Stars....daah!