Bush stars na Born Town first eleven.....

hapo kuna chepe madenge kipepe kobelo mapung'o huihui
 
Nakumbuka walikuwa na zoezi moja hivi unapanda juu ya mteremko alafu unaserereka na kichwa kwenye mawe yaliyoko chini
 
Mapung'o japo alikua ni mtu wa bata sana.. Jamaa alikua hatari sana mbele ya goli.. Nakumbuka aliwahi kusajiliwa uarabuni kutokana na uwezo wake uwanjani.
MAPUNG'O hakuwa kwenye SANI alikuwa kwenye Gazeti la Bongo ....(?) ambalo lilikopi vitu vingi vya SANI baada ya SANI KUPOTEA MTAANI ....MSHAMBULIAJI HATARI wa kwenye SANI alikuwa MZEE Meko ....peke yake ndiyo alikuwa anavaa shati kati ya wachezaji Bush Stars na Ukimuondoa Golikipa MADENGE
 
kuna mtu anakumbuka first eleven....ya timu hizi...
mimi namkumbuka Madenge tu mzee meko wa bush stars
na mtangazaji sukununu...

bUSH stars.. Madenge, Kobelo, Mzee Meko, Kizibao, Zoba,Huihui,kipepe
bORN... Wakina Bob MAZISHI, Lodilofa, Ndumilakwili,
 
Nimependa ukurasa huu ila watu wanarukaruka tu jamani si mpange hizo first eleven tuzikumbukee etiii
 
DAAAAAH!! Hapo nakumbuka kitambo, hayo majarida yalinifanya nijue kusoma haraka, kipindi hicho nilikua na rafik yangu anaitwa SIMON...
NAKUMBUKA NA JARIDA LA KISIKI CHA MPINGO NA CHONJOLICHONYA
 
Heshima kwa watunzi, mi walikuwa wananihamisha akili nikidhani jamaa wapo kweli somewhere
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…