Business Insider: Tanzania Inaelekea kuwa kivutio na kitovu cha Uwekezaji Duniani

Maana yake ni kwamba tunakwenda kuwa shamba la bibi.

Mtu anaweza kuja na brief case tu akaondoka na dhahabu.
Utakufa na umaskini wako. We ndo wale ukitaka kufungua duka unaenda pale ambapo hakuna watu ili usicompete na yeyote wakati unaukaribisha umaskini bila kujua. Kweli wakija mitanzania itakuwa mitazanaji tu mana elimu zetu ni za is and was tu
 
Utakufa na umaskini wako. We ndo wale ukitaka kufungua duka unaenda pale ambapo hakuna watu ili usicompete na yeyote wakati unaukaribisha umaskini bila kujua. Kweli wakija mitanzania itakuwa mitazanaji tu mana elimu zetu ni za is and was tu
Utakufa na wizi wako mwizi wewe.
 
😂😂

Kwa umeme upi? Au wa telemka tukaze?
Kwani mradi wa Bwawa la Nyerere unaisha lini?

Pili miaka yote walikuwa wanatumia umeme gani?

Ukiacha bwawa la Nyerere Kuna miradi mingine ya umeme 3 inaendelea na Ujenzi,Kagera 2,Kigoma 1 on top of Gas
 
Nchi ambayo mfanya biashara mmoja anaweza kuwa mmliki wa wafanya biashara wote na yeye ndiye kuwa muagizaji na wengine wote wachukulie kwake tu? Ngoja tuone
Kuna shida kwani? Wewe ndio mpindue badala ya kulalamika
 
... serikali kukopa TZS 5 tr/- kulipia hati fungani zilizoiva! Sina hakika kama hao Business Insider wakati wanaandika hiyo habari yao walifahamu hili.
Utakufa Kwa wivu kama Kiongozi wa malaika..

Naendelea kukupasua Moyo
 
Pumbavu na lile jinga lako View attachment 2561368

Yule kichaa wenu hangeweza kuwa na hizo akili
Mdomo wako mchafu sana licha kwamba huwezi toa tusi jipya!

Huwezi kujibu bila matusi mkuu! Nikwambie tu mkuu, ulichojaza kichwani pako ni uchafu tupu! Na huo uchafu utaondoka utakajua kwamba, hapa huwa hatugombani
 
Mdomo wako mchafu sana licha kwamba huwezi toa tusi jipya!

Huwezi kujibu bila matusi mkuu! Nikwambie tu mkuu, ulichojaza kichwani pako ni uchafu tupu! Na huo uchafu utaondoka utakajua kwamba, hapa huwa hatugombani
Kwani naemjibu hajatukana?
 
Kwani mradi wa Bwawa la Nyerere unaisha lini?

Pili miaka yote walikuwa wanatumia umeme gani?

Ukiacha bwawa la Nyerere Kuna miradi mingine ya umeme 3 inaendelea na Ujenzi,Kagera 2,Kigoma 1 on top of Gas
Sijui unaisha lini, si mfukie maana kaanzisha gaidi, sijui muuaji unavyosema...
 
Unaisha 24 ndio uzalishaji unaanza rasmi..

Tanzania ya viwanda Kwa vitendo
Jibu hoja

Bwawa la nyerere aliyeanzisha tunaambiwa hafai gaidi, muuaji, kwanini lisifukiwe?

SGR tungoe vyuma vyote, si atuhitaji miradi ya gaidi na muuaji
 
Ni ngapi zimeanza kazi na kuajiri hadi Leo hii??
 
Jibu hoja

Bwawa la nyerere aliyeanzisha tunaambiwa hafai gaidi, muuaji, kwanini lisifukiwe?

SGR tungoe vyuma vyote, si atuhitaji miradi ya gaidi na muuaji
Utafukiaje na umeshazika matilioni? Taahira kama wewe ndio unaweza fanya huo utaahira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…