Pohjois Haaga
Member
- Jun 29, 2015
- 47
- 16
Naamini penye wengi hapaaribiki neno. Nimepewa haki za kusambaza premium brand lubricants kutoka bara la Ulaya kwa soko la Tanzania na Afrika Mashariki na Kati. Hii brand ni kati ya zilizo bora sana barani Ulaya.
Mimi Mbongo lakini nimekaa nje kwa muda mwingi ila kwa sasa nipo nipo sana . Nahitaji mtu wa kushirikiana naye kwenye biashara hii mwenzangu huyo ingekuwa vizuri awe ana ufahamu wa biashara haswa wa hapa Tanzania(maana mi mtandao wa kijamii mdogo hapa nyumbani), uwezo au ufahamu wa jinsi ya upatikanaji wa tenda za makampuni na serikalini, na mtandao wa kutosha kwenye biashara. Mwenye nia au maswali au msaada wowote kufanikisha hili naomba ani PM twende mbele.
Natanguliza shukurani
Mimi Mbongo lakini nimekaa nje kwa muda mwingi ila kwa sasa nipo nipo sana . Nahitaji mtu wa kushirikiana naye kwenye biashara hii mwenzangu huyo ingekuwa vizuri awe ana ufahamu wa biashara haswa wa hapa Tanzania(maana mi mtandao wa kijamii mdogo hapa nyumbani), uwezo au ufahamu wa jinsi ya upatikanaji wa tenda za makampuni na serikalini, na mtandao wa kutosha kwenye biashara. Mwenye nia au maswali au msaada wowote kufanikisha hili naomba ani PM twende mbele.
Natanguliza shukurani