Naomba Serikali iangalie kuna changamoto katika kivuko cha Busisi - Kigongo ambapo kuna vivuko vitatu yaani MV Mwanza, MV Misungwi na MV Sengerema lakini kwa sasa kivuko kinachofanya kazi ni kimoja tu vingine vibovu.
Hali hii inasababisha foleni kubwa sana ya magari ambapo athari yake ni kupoteza muda, rushwa kwa baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri, pia kupunguza route za magari hasa ya abiria.
Unakuta gari linalopaswa kwenda route 4, kwa sababu ya foleni linaenda route 2 pekee.
Tunaomba Serikali iangalie hilo.
Ufafanuzi wa TEMESA~ TEMESA: Kivuko kimoja (Kigongo-Busisi) ndio kina hitilafu vingine vinaendelea na huduma kama kawaida
Hali hii inasababisha foleni kubwa sana ya magari ambapo athari yake ni kupoteza muda, rushwa kwa baadhi ya wamiliki wa vyombo vya usafiri, pia kupunguza route za magari hasa ya abiria.
Unakuta gari linalopaswa kwenda route 4, kwa sababu ya foleni linaenda route 2 pekee.
Tunaomba Serikali iangalie hilo.
Ufafanuzi wa TEMESA~ TEMESA: Kivuko kimoja (Kigongo-Busisi) ndio kina hitilafu vingine vinaendelea na huduma kama kawaida