Busu na kufumba macho vinahusianaje

Busu na kufumba macho vinahusianaje

haaha hapa mimi huwa naweka simu kifuani kwanza ! alafu naangalia huku na huku km navuka barabara ! kuna raha mno mume kukutumia pesa jaman !raha mnooo !
hahahaaa!mkuu kumbe saresare tu hapo ndipo naonaga kweli napendwa busu bila pesa wap na wap
 
hahahaaa!mkuu kumbe saresare tu hapo ndipo naonaga kweli napendwa busu bila pesa wap na wap


ahhhaha ila wewe unaonekana umenizid mbali saaaan! mie kwanza nikipewa pesa ukweli huwa nagutuka sana !maana sio kawaida !huwa nauliza ni kwangu au imepotea?? unakuta unajibiwa KALIPE ADA YA MTOTO!MBAAAAAAAFUUUUUUUUU! bas napokeaga tgps za hivyo tu !lol
 
MBITIYAZA ukweli busu ni kitu kinachoshangaza hasa kutokana na raha yake, wengi hufurahia sana kutoa na kupokea busu. Busu huunganisha hisia za ndani kabisa baina ya wawili.
Kisaikolojia ubongo hauwezi kukabiliana na vision zaidi ya moja za karibu mno yaani multi close-up visual hivyo kitendo cha uso kuwa karibu sana na ukichanganya zile hisia za mvuto, upendo na kururahia tendo la busu, lazima ujikute unafumba macho.
 
1.Aibu
2.Uoga
3.Feelings
Hizo ndyo hupolekea kufamba macho kama huamin
Jaribu kwenda kumu kiss malaya uone kama mtafumba macho [emoji23]
 
MBITIYAZA ukweli busu ni kitu kinachoshangaza hasa kutokana na raha yake, wengi hufurahia sana kutoa na kupokea busu. Busu huunganisha hisia za ndani kabisa baina ya wawili.
Kisaikolojia ubongo hauwezi kukabiliana na vision zaidi ya moja za karibu mno yaani multi close-up visual hivyo kitendo cha uso kuwa karibu sana na ukichanganya zile hisia za mvuto, upendo na kururahia tendo la busu, lazima ujikute unafumba macho.



waaaaaaaaaaahhhhh!
 
ahhhaha ila wewe unaonekana umenizid mbali saaaan! mie kwanza nikipewa pesa ukweli huwa nagutuka sana !maana sio kawaida !huwa nauliza ni kwangu au imepotea?? unakuta unajibiwa KALIPE ADA YA MTOTO!MBAAAAAAAFUUUUUUUUU! bas napokeaga tgps za hivyo tu !lol
ahhhaha ila wewe unaonekana umenizid mbali saaaan! mie kwanza nikipewa pesa ukweli huwa nagutuka sana !maana sio kawaida !huwa nauliza ni kwangu au imepotea?? unakuta unajibiwa KALIPE ADA YA MTOTO!MBAAAAAAAFUUUUUUUUU! bas napokeaga tgps za hivyo tu !lol
nachokaga
 
Back
Top Bottom