Busuness partner anahitajika haraka!


acha makuzi mfanya biashara yeyote mjanaja tz asingetaka kujua kama unalipa tax angeuliza opposite na hio question yako na angeuliza huyu bwana anaujanja kiasi gani cha kukimbia kodi sio kulipa kodi ili imfaidishe nani kwa nchii hii, na hapo inaaonyesha ni jinsi gani unavyowachelewesha wateja wako kuwa matajiri
 

Wewe hata huelewi unachokiongea.
 

ahahahaaaaaaaaaaa uuh
 

huyu Faiza ametoka kumpigia kampeni rizione akili yake bado haujakaa sawa,mwacheni apumuwe!
 
Wewe hata huelewi unachokiongea.

we unajua ni nn exactly na maananisha hapo, sema we ulitaka tu kutunisha misuli hapa kumtisha mkuu, sasa faiza nakupa offer ya we kuni PM ilinije nikusaidie kwenye hio business yako jinsi gani ya kusave mihela toka kwa hao, financial predators the like ya TRA na wengine wengi unaonekana unamichongo ila hujui kutumia mianya kuwa tajiri see me, let me help you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…