Buy HD premium Receiver: The best MPEG4 receiver with Free IPTV For Bein Sports & 1year TV1 CCcam

Buy HD premium Receiver: The best MPEG4 receiver with Free IPTV For Bein Sports & 1year TV1 CCcam

Hayo yote nimeyafahamu, lakini interest yangu ilikuwa kwenye Bein Sports ambayo inatumia hiyo IPTV, lakini doubt yangu ni kweli inawezekana kupata speed hiyo unosema ya 3mbps hizi sehemu zetu, na kama hiyo speed is possible ni which network?

Speed ya 3Mbps ni ndogo sana tena ndogo sana kwa hapa Dar na mikoa yenye 3G
Mm napata 16Mbps nikiwa na modem ya 42Mbps au 21Mbps ila hata nikiwa na 7.2Mbps(modem nyingi za hapa kwetu) nafikisha mpaka 5Mbps

NB usichanganye MBps na Mbps ni vitu viwili tofauti jaribu ku google kupata maarifa zaidi ya vipimo vya speed ili ukirudi nikupe maelezo zaidi ya IPTV

Ukitaka kufaidi IPTV kuwa na internet yenye ubavu kidogo e.g landline na Smile 4G

Iwapo utapenda IPTV nakushauri modem ya Tigo yenye kasi ya 14Mbps
 
Speed ya 3Mbps ni ndogo sana tena ndogo sana kwa hapa Dar na mikoa yenye 3G
Mm napata 16Mbps nikiwa na modem ya 42Mbps au 21Mbps ila hata nikiwa na 7.2Mbps(modem nyingi za hapa kwetu) nafikisha mpaka 5Mbps

NB usichanganye MBps na Mbps ni vitu viwili tofauti jaribu ku google kupata maarifa zaidi ya vipimo vya speed ili ukirudi nikupe maelezo zaidi ya IPTV

Ukitaka kufaidi IPTV kuwa na internet yenye ubavu kidogo e.g landline na Smile 4G

Iwapo utapenda IPTV nakushauri modem ya Tigo yenye kasi ya 14Mbps
Ahsante kwa darasa nimekufahamu na nimeshawahi kupima hiyo speed kwenye some ISP lakini nikapata hiyo ya 1 mbps, sasa ndo maana nikawa na interest yakujua kama hizo network zinotoa 3g kama speed hiyo hufika na kwa kutukia modem gani.
 
Na kwa kuuonngezea tu niliwahi zamani kutumia hizo dongle na hapo nilipo line ya Tigo haikukubali kabisa
 
Na kwa kuuonngezea tu niliwahi zamani kutumia hizo dongle na hapo nilipo line ya Tigo haikukubali kabisa

Ilo ni tatizo la dongle ulokua unarumia ilibiddi u run APN settings ku ser APN za tigo ila hapa hamna shida hiyo
 
This morning plenty of stocks

1.Qsat/Xmaster/xman g8 Remote control 16,000/=
2.HD premium with 1yr free DSTV 235,000/=
3.Huawei E3131 35,000/=
4.TV1 CCcam(VIP server) with real expiry date 3month 55,000/= and 1yr 95,000/=

4.A1 CCcam 6months 60,000/=

5.Dish+Dish installation 90,000/=

6.Azsky recharge codes 7months 35,000/=
 
Ilo ni tatizo la dongle ulokua unarumia ilibiddi u run APN settings ku ser APN za tigo ila hapa hamna shida hiyo
Ahsante sana kwa maelezo, wacha nijaribu ku solve hii problem ya network, nihakikishe naweza kupata hiyo speed ya 3mbps then I will get back to you. Thank you
 
280,000/= + 90,000/= (dish & installation)

Hapo una free 1yr DSTV TV1 CCcam

Sawa mkuu. Na baada ya mwaka mmoja inakuweje? nina renew ama ndo inakuwa basi tena? na kama kurenew ntalipa tena 280,000 ama inakuweje? fafanua mtaalam
 
Labda swali langu linaweza kuwa la kizushi sana kwa sababu sina uzoefu kbs na hii teknolojia. Hivi unapoongelea hiyo modem, ni kwamba ni lazima uwe na computer iko active muda wote unapoangalia hizo channel ama hiyo dongle inachomekwa wapi? Naomba mnifute tongotongo walau nianze kupata picha.
 
mkuu hii kitu inauwezo ea kutumia avatar account.
Ndio inaweza ila avatacamHD ilikua married kwa software zinazofanana na Qsat kama Xmaster na nyingine

hivi hizo hd premium receiver zina tofauti gani na zile zinazoitwa dreambox.


DreamBox ni bonge la receiver hauwezi linganisha na receiver nyingine na sio receiver rahisi yakutumiwa na Layman maana ina run on Linux OS
 
Ndio inaweza ila avatacamHD ilikua married kwa software zinazofanana na Qsat kama Xmaster na nyingine




DreamBox ni bonge la receiver hauwezi linganisha na receiver nyingine na sio receiver rahisi yakutumiwa na Layman maana ina run on Linux OS

hio naomba utupe maelezo ya dreambox. pia mimi niko mbeya nataka hii huduma ila sehem nilipo naona kama network inanisumbua napotumia tablet sasa sijui nitapataje modem yenye nguvu ili nishawishike kununua
 
hio naomba utupe maelezo ya dreambox. pia mimi niko mbeya nataka hii huduma ila sehem nilipo naona kama network inanisumbua napotumia tablet sasa sijui nitapataje modem yenye nguvu ili nishawishike kununua


Kuhusu network unapata E,H,3G?

Je umejaribu Vodacom,Airtel na Smart(smart nimesikia wana 3G Mbeya)

Dreambox ni hatari sana maana yenyewe ndo inaweza ku run server ambazo ss tunatumia kuangalia channel bure

Niko nayo hapa nakula zangu TRACE huku najibu JF nai control ndani ya web browser
 

Attachments

  • dreambox.png
    dreambox.png
    203.6 KB · Views: 118
Ndani ya Dreambox natumia A1star CCcam na natumia s/w ya CCcam 2.1.1 wakati mwingine Oscam

Picha nazi capture kwenye computer kwenye PC yangu huku TV inaendelea kuonesha

CCcam_panel.png
 
Kwa hiyo hii kitu sharti uangalizie kwny kompyuta, sio kwenye tv kawaida? Au kuna manuva gani tena hapo? Nielewesheni vzr wakuu
 
Kwa hiyo hii kitu sharti uangalizie kwny kompyuta, sio kwenye tv kawaida? Au kuna manuva gani tena hapo? Nielewesheni vzr wakuu

Hapana umechanganya na naomba wengine wasichanganye....

Dreambox(receiver aliyouliza sifa zake nchangiaji hapo juu) inaweza kuwa controled ukiwa kwenye laptop na Receiver hauioni ili mradi tu uwe under the same Local Area network...

Hivo receiver ya Dreambox inayoongelewa hizo post za hapo juu sio ninayouza mm ila ukiitaka naweza kukutafutia na kukuwekea DSTV ya mwaka...

Na receiver yoyote Mara nyingi hutumika katika TV na sio ktk laptop(labda uwe bahiri wa kununua TV)
 
Back
Top Bottom