Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi wahuni wa somalia wamewashindwa?
Kweli wewe akila yako ni kiujakazijakazi RAO na Uhuru nani ni kibaraka wamzungu zaidi ya mwenziye? Asilimia 96 ya viongozi wa nchi za Afrika wote ni vibaraka wa wazungu wakiongozwa na rais wako Kikwete.Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...
Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...
Nadhani utakuwa mkikuyu hivi......punguza ushuzi huyo Odinga ni kiongozi ambaye amechangia demokrasia sana katika li inchi hilo miaka mingi kabla hata huyo dogo mvuta bange hajatoka kwa babake....pumbaf mkubwa wewe!
Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...
Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...
wanapigana kwa ajili ya allah kwa kuuwa watu ovyo ovyo fis billahWahuni?? we mwehu kwel, wale waitwa AL-SABAAB. Majemedali wa allah, wanapigana kwa ajili ya allah(fis-sabillah) au waite mujahid fi-llah. We unadhani wakogea kopo wenzio wale.
Hahah..jamaa katikisa chungu hadi walio madarakani wanatetemeka kiasi cha kutokwa ushuzi....hahahahah......eti "house arrest"..hahahahhh!......hahhahahahahhah!...nchi yenye katiba mpya......yaan jamaa anakubalika kweli.
nduguKwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...
Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...
Kwa Mtazamo wangu mimi naona Raisi wa Kenya Bw.Uhuru Kenyata anacheka na nyani (Bw.Raila Odinga) na matokeo yake atavuna Mabua!
Kama kuna kitu ningeweza kumshauri huyu dogo (Uhuru Kenyata) ni kumpa Bw.Raila Odinga House arrest mara moja yaani asiruhusiwe kusafiri nje ya Nchi vinginevyo kama akiendelea kumlea lea atayaona yaliyompata Mubaraka wa Misri...
Huyu Bw.Odinga ni kibaraka wa Wazungu na anakula njama na Wazungu kuimaliza Kenya, najua Wakenya mtasema Kenya inanihusu nini mie MTanzania, inanihusu kwa maana kama Kenya ikiangamia kama Somalia au Uganda nani anayefuata kama SIYO sisi (TZ)? Hivyo ni lazima tuhakikishe (Watz) Kenya haingukii kwa huyu kibaraka...
wengi wenu hamjui popular struggle has many heads.....how long does it take to publish memoirs?.....unataka kuniambia huyu bana ashamaliza kuchapisha vitabu vyake?...sasa amebaki kuvunja katiba waziwazi na kutumia mikutano ya saba-saba na wananchi kama sababu....mnavyozungumza mko radhi kenya kusambaratika, ukweli yenyewe huna kwamba kenya inangozwa bila utekelezaji wa katiba. kelele hizi zote hazihusiki kutetea mwananchi wa kawaida, ni kwamba cord walitia saini katika contract nyingi za miradi kwa serikali iliopita, na sasa serikali imechukua kubadilisha contract hizo. usidanganywe eti ni mazungumzo ya kujenga wananchi.
mtu mwenye familia na wajihi kwamba ni kibaraka wa watu wa taifa jingine pasipo ushahidi wa waziwazi.
wewe unadhani watakubali mtu mwingine asiye na usawishi?, lazima kuna jambo kinapangwa na huyu jamaa kwa ushirikiano na wafidhili wake kutoka marekani. Ni vema mngangano huu unadhihrisha vile uongozi wa kenya umekuwa miaka hii yote. Uongozi wa kenya haujakuwa na kingine ila ubadhirifu wa fedha na rasilimali. Fuatilia bajeti ya kila mwaka toka 2002 halafu chunguza utuambie ni miradi gani iliyopangwa kufanywa imekamilika. kinachozozaniwa hapa na njia za ugavi wa rasilimali kati ya vikundi vya wanasiasa, ambayo katiba inaeleza wazi wazi....ni kama mdau moja alivyoandika hapa hivi majuzi ..this is grandstanding...Kama anaiamini katiba na aiheshimu vinginevo malipo ya jitihada zake zinatoka uzunguni.
Railaphobia is messing up some folks around here. Raila Odinga is here to stay!...Get used to it!
Taratibu usitokwe na povu bure mazee. Huyo Rais wenu hana la maana ila kujaza serikali na
watu wa mitaa ya kati kana kwamba hamna makabila mengine. Wezi wa mali ya uma wamezidi
kila sehemu n Rais hafanyi lolote ila kuwashabikia hadi kutia sahihi mikataba feki inayowagharimu
wakenya hela kibao Alafu mauaji nayo pia yamezidi kila kona ya nchi...aloo hebu amka hapo ulipo
na acha hisia za uongo hapa mazee. Ushakua kichekesho na hii ngoma unayojaribu kupiga kila siku.
Haya ni mawazo ya wakenya wengi na sio Raila kama unavyojaribu kudanganya kadamnasi!
Taratibu usitokwe na povu bure mazee. Huyo Rais wenu hana la maana ila kujaza serikali na
watu wa mitaa ya kati kana kwamba hamna makabila mengine. Wezi wa mali ya uma wamezidi
kila sehemu n Rais hafanyi lolote ila kuwashabikia hadi kutia sahihi mikataba feki inayowagharimu
wakenya hela kibao Alafu mauaji nayo pia yamezidi kila kona ya nchi...aloo hebu amka hapo ulipo
na acha hisia za uongo hapa mazee. Ushakua kichekesho na hii ngoma unayojaribu kupiga kila siku.
Haya ni mawazo ya wakenya wengi na sio Raila kama unavyojaribu kudanganya kadamnasi!