Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaomwita wakili msomi akili hawana kwani kuna wakili kajua sheria bila kusoma??
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye usahili tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...
Pole usiyejuwa maana ya neno msomi. Katika sheria mtu msomi nialiyebobea kwenye taaluma hiyo na si kujuwa kusoma nakuandika Lissu nimsomi kitaaluma amebobea pia juwa sikila wakili nimsomi maana yake hawajabobea mfano mtu ambaye kapata uwakili mwaka jana hatumwiti msomi au wakili wa mahakama za chini ambaye hatambuliki mahakama kuu huyu si msomi kwa maana hajabobea kwenye taaluma hii
Alichokuwa anakifanya, alidhani hati haipo kwa asilimia kubwa...sasa kapoteza muda gani wakati hati imeshapatikana kwa ajili ya alichosema,rais jk alishawahi kumsifia lissu kuwa yeye peke yake ni kama bunge zima?...lissu ni intelligent na INAHITAJIKA INTELLIGENT MIND KUMWELEWA LISSU
Hilo unasema na Unaliona wewe! Subiri sasa Moto wake...
umeeleweka mkuu, sana tu . Kimsingi ni kuwa hata kama nyerere alifanya makosa but the has a good intention. Wengine ni mahtama gadhi(india), mao(china), karume(zanzibar), kennedy(us), kwame nkurumah(ghana)Martin Luther JR.(US) hawa ni watu wakubwa duniani ambapo hata kama waliwahi kukosea lakini kwa vyovyote vile walichokifanya walikuwa na dhamira njema.sijasema kama sio intelligent kabisa bali siyo intelligent kama ambavyo wengi wenu mnadhania.
kuhusu kuhusu hati ya muungano ingeweza kuletwa bila ya yeye kuongea aliyoongea dhidi ya mlm.nyerere hata kama ni ya ukweli kiasi gani, mtu intelligent alipaswa kutambua kwamba kuwa dhidi ya mlm.nyerere nchi hii utashindwa tu na mwishowe watu watakuupuzia na haijalishi ulikuwa uko sahihi kwa kiasi gani!
Huyo babu (mlm.nyerere) alishawahi na hakuna jinsi mtu anaweza kubadilisha hilo hata ajaribu vipi, hivyo mtu intelligent anapaswa kutambua hilo...waswahili tunasema ujanja kuwahi, na yeye basi alisha wahi wengine lazima tukubali tu...
nyerere has a good intention, and any good person can make a mistake... He is still and always be a good person.nyerere ni mungu hadi asiwe na dhambi?
Kweli kabisa huyu Tundu Lisu Siyo Intelligent man, CCM wamemtega yeye kaingia kichwa kichwa sasa angalia anavyotoa majibu rahisi kwenye swala la kulipwa milioni 230!
Tatizo lake huyo mchumia tumbo ana majibu ya hasira lkn kichwani kweupeee, hiyo ni sheedah kweli, yaanihapo ni ZEROOOOKweli kabisa huyu Tundu Lisu Siyo Intelligent man, CCM wamemtega yeye kaingia kichwa kichwa sasa angalia anavyotoa majibu rahisi kwenye swala la kulipwa milioni 230!
Tatizo lake huyo mchumia tumbo ana majibu ya hasira lkn kichwani kweupeee, hiyo ni sheedah kweli, yaanihapo ni ZEROOOO
hivi nyerere ndo hakuwa anakosea jamani? yani kila alichokuwa anafanya ni sahihi tu,hilo ndo mnataka tuamini?