Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Bw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!

Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!

Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...

Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...

Kwanza mleta mada yenyewe siyo intelligent. Kwa hiyo, anajuaje kuwa mwingine siyo intelligent?
 
Mkuu kijakazi,

Nafikiri umekosea kwa kumtusi mheshimiwa Tundu Lissu kwa kumwambia kwamba yeye hana akili yaani hatumii akili au hayuko intelligent katika kupanga, na kufanya maamuzi.

Ungesema hayuko mwelevu yaani clever pia nisingekubaliana nawe.

Ni topic pana kidogo lakini Mwalimu Nyerere alifikia hapo baada ya wazungu kumgundua kwamba ana high IQ hivyo kuiendeleza kiasi cha kumfanya pia awe mzungumzaji mzuri wa lugha ya kiingereza ingawa lafudhi ya kizanaki haikupotea kabisa.

Intelligence ya Mwalimu Nyerere ilimsaidia kufanya yale aliyoyafanya kwa taifa la Tanzania, lakini akaja kuharibu kwenye suala la Muungano na kilichotokea kinajulikana na kosa hilo halitafutika.

Mwalimu ni mmoja wa watu walioanzisha political establishment ambayo imekuja kuwa one of the most corrupt in Africa chini ya CCM.

Haya ni makosa makubwa ya mwalimu Nyerere.

Nyerere alikuwa ni binadamu hivyo ni lazima tukubali hilo kwamba alikuwa na mapungufu na moja ya mapungufu hayo ni kuwafunga akina Abdu Jumbe, Seif Sharif Hamad, Chifu Abdalah Said Fundikira, Joseph Kasela Bantu na wengine wengi tu.

Lakini mtu huyo huwezi kusema ni intelligent kwani anakosa moja ya attributes za kuwa intelligent kwamba inabidi uwe una uwezo kuwa kufikiria hasara na faida za uamuzi utakaoutoa yaani "reasoning" na effect yake kwa mtu uliemuathiri na familia yake na ukoo wake wote.

Naomba niishie hapo maana hii topic ulioanzisha si sahihi na unakuwa unakaribisha watu kusema yasiyostahiki.

Lakini Tundu Lissu is intelligent kufikia hapo alipo na akili hizo si za kuazima.
 
Sijasema kama Sio Intelligent kabisa bali SIYO intelligent kama ambavyo wengi wenu mnadhania.
K
uhusu kuhusu Hati ya Muungano ingeweza kuletwa bila ya yeye kuongea aliyoongea dhidi ya Mlm.Nyerere hata kama ni ya ukweli kiasi gani, Mtu Intelligent alipaswa kutambua kwamba kuwa dhidi ya Mlm.Nyerere nchi hii utashindwa tu na mwishowe watu watakuupuzia na haijalishi ulikuwa uko sahihi kwa kiasi gani!

Huyo Babu (Mlm.Nyerere) alishawahi na hakuna jinsi mtu anaweza kubadilisha hilo hata ajaribu vipi, hivyo mtu intelligent anapaswa kutambua hilo...Waswahili tunasema Ujanja kuwahi, na yeye basi alisha wahi wengine lazima tukubali tu...


Ninachoona hapa ni kuwa TUNDU LISSU NI INTELLIGENT SANA kiasi kwamba watu kama wewe ni ngumu kumuelewa.Wewe unasema TUNDU LISSU sio Intelligent lakini wenzako walizima Matangazo ya Televisio ili TL asisikike.Alichotaka TL ni more ya wewe ulivyomuelewa.
 
Tia maji tia maji tu Tundu Lissu; wakati mwingine ana hoja za msingi saa zingine anabwaga vile vile kwa upayukaji unaopwaya na kumfanya hata mtu kujiuliza kama huyu kweli mwanasheria nguli.

Yote tisa juzi kwenye kuitaka serikari kurekebisha maneno kwenye muswada wa sheria wa 'whistle blower and witness protection' ajui hata intention is part of mens rea, kwenye criminal proceedings yeye anadai ni makosa kutoa tuhuma kabla ya tukio. Ina maana mi nikiona fulani ana nia ya kutenda ovu na kwenda kuripoti nia zake kwa Tundu Lissu hiyo siyo kosa hivyo ni shutuma tu (ata kama kweli kuna evidence za mabomu ya kwenda kulipua) no wonder Msando alimbwaga mwanasheria gani kwa sifa anazomiminiwa vitu basic vinampiga chenga.
 
Tia maji tia maji tu Tundu Lissu; wakati mwingine ana hoja za msingi saa zingine anabwaga vile vile kwa upayukaji unaopwaya na kumfanya hata mtu kujiuliza kama huyu kweli mwanasheria nguli.

Yote tisa juzi kwenye kuitaka serikari kurekebisha maneno kwenye muswada wa sheria wa 'whistle blower and witness protection' ajui hata intention is part of mens rea, kwenye criminal proceedings yeye anadai ni makosa kutoa tuhuma kabla ya tukio. Ina maana mi nikiona fulani ana nia ya kutenda ovu na kwenda kuripoti nia zake kwa Tundu Lissu hiyo siyo kosa hivyo ni shutuma tu (ata kama kweli kuna evidence za mabomu ya kwenda kulipua) no wonder Msando alimbwaga mwanasheria gani kwa sifa anazomiminiwa vitu basic vinampiga chenga.
Tatizo anajifanya mjuaje kisa kasomea Sheria wakati kilaza tuu hana jipya mtu wa kupinga pinga tu kila jambo
 
Bw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!

Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!

Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...

Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...

huyu....mleta uzi
nilivyosoma mpaka mwisho nimegundua atakuwa ni yule
mzee wa "INJI HII" mrema .
 
Pole usiyejuwa maana ya neno msomi. Katika sheria mtu msomi nialiyebobea kwenye taaluma hiyo na si kujuwa kusoma nakuandika Lissu nimsomi kitaaluma amebobea pia juwa sikila wakili nimsomi maana yake hawajabobea mfano mtu ambaye kapata uwakili mwaka jana hatumwiti msomi au wakili wa mahakama za chini ambaye hatambuliki mahakama kuu huyu si msomi kwa maana hajabobea kwenye taaluma hii
hujaelewa topic mdau:
 
Bw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!

Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!

Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...

Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...
mwalimu .Nyerere aliweza kufanya alichoweza kwa upeo & akili zake na kuandika historia yake ndani ya Tanzania na Duniani na hakuna aliyemkamilifu duniani maana wote tu binadamu, .Hivyo Tindu lisu asielekeze akili na usomi wake katika kukosoa tu kuhusu mwalimu Nyerere bali na yeye aifanyie kitu Tanzania ili aandike historia kwa kizazi chake na kijacho kimsome katika vitabu kama tunavyomsoma mwalimu Nyerere....Namshauri a work on akitambua kuwa TANZANIA INA MDAI KWA KIZAZI KIJACHO
 
kuwa na ulimi na mdomo pekee havifanyi tuongee kuna viungo vingi,,,,,,lakini humu vidole tuuuu kwao ni tosha
 
Angekuwa sio intelligent msingeleta saini za hati za Muungano.......as ingekuwa intelligent msingi kuwa mna poteza muda wa kuhangaika naye kama ambavyo sihangaiki na Lyatonga kwani sio intelligent ,,,,,,, ficha upumbavu wako......

Sign hata Simba walifoji ya Ramadhan Singano Lissu atashindwaje kufoji?
 
Kwa sababu ni mwanasheria nguli na intelligent alijua alitumia mwanya huo kuwagusa vibaya ili hati itoke. Ukiwa mwanasheria mzuri katika argument zako lazima umchokoze mpinzani wako ili akupe ushaidi zaidi. Sasa hiyo hati imeombwa miaka nenda rudi haikutoka lakini jana alipowagusa pabaya imechomoka uko speed kali
Sasa wewe unayesema siyo intelligent sijui huoni ilo? au wewe ndiye mbumbumbu
Acha wehu wewe kilaza, unamtetea kwani kakuoa au kamuoa dada yako eenh? Nyau weee
 
Mhhhhh!! Hivi ukilaza wako unafikiri kila mtu kilaza. Kuwa na adabu wakati mwingine na ficha ujinga wako siyo kila mtu anataka kuujua
Acha wehu wewe kilaza, unamtetea kwani kakuoa au kamuoa dada yako eenh? Nyau weee
 
Mhhhhh!! Hivi ukilaza wako unafikiri kila mtu kilaza. Kuwa na adabu wakati mwingine na ficha ujinga wako siyo kila mtu anataka kuujua

Wewe mwenyewe uko kwenye hilo kundi la watu uliowataja, nini hiki ulichokiandika?au ndo kusema hujaelewa mada?
Kamuulize Huyo Utundu wako unayemtetea mpaka unarukwa na akili ni kwa nini alikurupuka kuhusu uhalali wa hati ya Muungano?usitumike!
 
Kuwa intelligent si kipimo cha kukaa kimya hata kama waliokutangulia walikosea. Mwl J.K Nyerere alisema yeye hakuwa malaika na hata serikali yake kuna upuuzi ilifanya so lazima uongozi wake uwe criticized pia. Lissu ni intelligent kwani anajua anachokifanya. Kwa mfano hapo juzi alijua kabisa kuwa watatolewa bungeni na alifanya positive provocative strategy for a political gain kwa kuangalia udhaifu wa bunge lililo na CCM wengi kupitisha miswada ya dharura.
 
Kuwa intelligent si kipimo cha kukaa kimya hata kama waliokutangulia walikosea. Mwl J.K Nyerere alisema yeye hakuwa malaika na hata serikali yake kuna upuuzi ilifanya so lazima uongozi wake uwe criticized pia. Lissu ni intelligent kwani anajua anachokifanya. Kwa mfano hapo juzi alijua kabisa kuwa watatolewa bungeni na alifanya positive provocative strategy for a political gain kwa kuangalia udhaifu wa bunge lililo na CCM wengi kupitisha miswada ya dharura.

Kwa hiyo Lisu katika wabunge wote wa UKAWA ndo intelligent?
 
Back
Top Bottom