Hakuna madhara kumgusa nyerere maana ameshatangulia mbele ya haki mnaogopa kwa kutoelewa tu,mwogopeni MUNGU kwa kukataa maovu maana GOD anaexist all the time kuliko kuogopa mtu aliekufa,watz vp,bado mnaabudu mizimu?Siyo kwamba Tundu Lisu hajui madhara ya matamko yake juu ya Mwl, Nyerere, amelewa sifa ya kuitwa mwanasheria maarufu, hasa hasa alivyoambiwa hivyo na Rais Kikwete.
Mtanzania halisi
sasa kapoteza muda gani wakati hati imeshapatikana kwa ajili ya alichosema,rais jk alishawahi kumsifia lissu kuwa yeye peke yake ni kama bunge zima?...lissu ni intelligent na INAHITAJIKA INTELLIGENT MIND KUMWELEWA LISSUMimi siku zote uwa nadhania kuwa mtu intelligent uwa anasolve tatizo kwa njia ya busara na si kuleta ubishani usio na faida na kupoteza muda....
MKUU KIUKWELI WW NDO UTAKUWA SIO INTELLIGENT MAANA INTELLIGENTS WOTE TUMEMWELEWA LISSU.......HE IS THE ONLY TANZANIAN WHO DARED TO SPEAK THE TRUETH OPENLY,nyie mnazungumzia kiunafiki na kisirisiriBw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!
Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!
Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...
Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...
Hivi huyu jamaa Bw.Tundu ni Mbunge wa Jimbo la Masaki? Mbona sijawahi kumsikia hata siku moja akiongelea Jimbo lake Bungeni? Kila akiongea yeye ni masuala ya Kitaifa tu. Je, Jimbo lake halina Matatizo?
Sijawahi kusikia kama wengine huwa wanaongelea matatizo ya Majimbo yao Bungeni kama Mbunge wangu Bi.Mdee huwa anaongelea mara moja moja kuhusu Jimbo letu, au Bw.Mnyika huwa namsikia akiwakilisha Ubungo, hata Bw.Lema huwa nasikia akiwakilisha Arusha Bungeni lkn huyu Jamaa (Bw.Tundu) sijawahi kumsikia akiongelea Masuala ya Jimbo lake, sasa Je, Jimbo lake ni kama Masaki (Dar)?
Bw.Tundu sio mtu intelligent kama watu wengi wanavyodhania, kwa maana mtu intelligent huwa ana uwezo wa kujua madhara ya kile anachokisema kabla hajakisema!
Mtu intelligent yoyote anapaswa kufahamu ktk Nchi kama TZ hauwezi kuanzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere na ukashinda hata uwe nani, hata Raisi wa nchi leo hii akianzisha Vita dhidi ya Mlm.Nyerere hawezi kushinda mwishowe kuna mtu tu anaweza hata akajitoa mhanga kumlipua!
Ni sawa naleo hii Marekani mwanasiasa aanzishe Vita dhidi ya sijui Raisi Washington au Lincoln hawezi kushinda hata iweje hata kama huyo Mwanasiasa yuko sahihi kwa kiasi gani, vile vile kama ilivyo pia hakuna Mwanasiasa AK leo hii ambaye anaweza akaanzisha Vita dhidi ya Bw.Mandela na akashinda hata kama atakuwa sahihi kwa kiasi gani, na ndio maana utaona Wanasiasa wenye akili linapofika kwenye swala la hawa watu huwa wanakuwa waangalifu sana wawe ni Demokrats au Republikan hakuna anayethubutu kuwaongelea na kuwakashifu Lincoln hata kama walifanya makosa kiasi gani kwa maana wanafahamu kwamba hawa Watu nafasi yao imeshaandikwa kwenye Historia na huwezi kuifuta bila kukugharimu...
Bw.Tundu alipaswa aelewe kwamba hata kama Mlm.Nyerere amekosea kwa kiasi gani hakupaswa kumuongelea vile, alipaswa aelewe kwamba kuna watu wako tayari kufa kumtetea Mlm.Nyerere na hiyo ni Nchi nzima kuanzia jeshini mpaka Utingo wa daladala...
Lissu ndio mungu...mpo sahihi kabisa chadema
Tatizo ni Kwamba Dunia haiko hivyo unavyodhani wewe, ndio maana nikakupa Mfano wa Marekani hao Maraisi waanzilishi kama akina Lincoln na Washington wengine walikuwa wanamiliki Watumwa ingawaje ni JAMBO BAYA lkn ni MWIKO kuwaongelea vibaya hao jamaa waliopita hata iweje na kila Mwanasiasa kama anajitaka basi huwa anatafuta tu mazuri waliyoyafanya na mabaya kuyaacha, vivyo hivyo kwa Mlm.Nyerere hapa kwetu nafasi yake tayari ipo na ameshakufa hivyo kumuongelea vibaya kama Mwanasiasa hata kama uko sahihi kwa Kiasi gani (kumbuka Dunia haiko fair) hakutakufikisha mbali, hauwezi kugeuza Maoni ya Watz leo hii dhidi ya Mlm.Nyerere hata ufanye nini bila kukugharimu na haijalishi utakuwa uko sawa kwa kiasi gani yeye (Bw.Lisu) alipaswa kulifahamu hilo...
Kuna mambo mengine haupaswi kuyasema hata kama unafikiri uko sahihi, ni hivyo tu na kwa bahati mbaya Dunia ndivyo ilivyo aliyekutangulia, amekutangualia na Mlm.Nyerere tayari ameshaweka Mark yake TZ na kuiondoa ni kazi kubwa...Bw.Tundu alipaswa kufahamu hilo!
Msamehe bure,unajua wakati mwingine wazazi hufanya maklsa ya kuwa watoto majina ambayo yana madhara,kama hili la TUNDU.Sijasema kama Sio Intelligent kabisa bali SIYO intelligent kama ambavyo wengi wenu mnadhania.
Kuhusu kuhusu Hati ya Muungano ingeweza kuletwa bila ya yeye kuongea aliyoongea dhidi ya Mlm.Nyerere hata kama ni ya ukweli kiasi gani, Mtu Intelligent alipaswa kutambua kwamba kuwa dhidi ya Mlm.Nyerere nchi hii utashindwa tu na mwishowe watu watakuupuzia na haijalishi ulikuwa uko sahihi kwa kiasi gani!
Huyo Babu (Mlm.Nyerere) alishawahi na hakuna jinsi mtu anaweza kubadilisha hilo hata ajaribu vipi, hivyo mtu intelligent anapaswa kutambua hilo...Waswahili tunasema Ujanja kuwahi, na yeye basi alisha wahi wengine lazima tukubali tu...
serikali wameuumbua kwa kusema uongo, walitegemea ingekuwa turufu ya kugomea majadiliano ya rasmu kama alivyofanya mnyika. Leo hawana la kuongea tena...Kwa sababu ni mwanasheria nguli na intelligent alijua alitumia mwanya huo kuwagusa vibaya ili hati itoke. Ukiwa mwanasheria mzuri katika argument zako lazima umchokoze mpinzani wako ili akupe ushaidi zaidi. Sasa hiyo hati imeombwa miaka nenda rudi haikutoka lakini jana alipowagusa pabaya imechomoka uko speed kali
Sasa wewe unayesema siyo intelligent sijui huoni ilo? au wewe ndiye mbumbumbu