Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Bw.Tundu Lissu siyo Intelligent!

Binafsi, sija amini tundu lisu anapatawapi ujasiri wa kumdhalilisha Nyerere. Nahisi amechoka na maisha ya kisiasa.
hao watu waliotupa nchi huwa hawaguswi....

kudai hati ya muungano lilikuwa ni mawazo finyu tu, kwani Leo hii tusipo oneshwa hati Kuwa tumepewa Uhuru na waingereza mwaka 61' tanganyika itakuwa sio huru?

Kwa mawazo yangu, nchi sio campuni, kuna document zingine muhimu huwezi kuonesha kila mtu Akitaka......
nimeamini kuwa kusoma sio Kuwa na maarifa.......na kama huyo ndiyo mwanasheria wetu mkuu wa choma.....tunaelekea papaya..........

Muungano ni makubaliano ni tofauti kabisa na Uhuru ambao unaweza ukalazimisha kuupata aidha kwa vita au mapinduzi kama Zanzibar.
 
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye usahili tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...
 
Wewe Una chuki binafsi na lisu.
Pia inaonyesha ni jinsi gani upeo wako ulivyo Mdogo Sana hata nashindwa nikueeleze vipi kwa sababu jinsi ulivyo mtupu kwenye ubongo wako na hisi uwezi elewa jambo lolote.
 
at least lissu kaonesha namna ya kufanya utafiti kabla ya kuongea, anatoa hoja badala mumjibu kwa hoja mnaongea majungu tu, we ndo unajua elimu yake?, kwa utendaji kazi wake anaweza pata kazi popote pale.
 
Udahiri......??? Wewe utapata wapi hiyo kazi Muuza vitumbua wewe.
 
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye udahiri tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...

Huyu nae hapa anajitutumua...Ha ha ha .Dah!
 
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye udahiri tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...

kakwambia anataka kazi...wewe mwenyewe Gumbalu,,,Usaili unaita UDAHIRI.alafu bado unajifanya msomi,,msomi usiyejua hata lugha ya taifa lako..kweli ukiwa ccm kila kitu majanga..pole sana wewe unayebembeleza kazi
 
Slave mentality...... kazi kazi kazi!......endelea kuomba kazi....hivi kwa akili yako Kwa inclination ya Tundu Lissu.. unatarajia aeendlee kuomba kazi at age 50? must be ignorant
 
...McKinsey ndo nani? yupo Zanzbar au Tanganyika? anataka serikali mbili au tatu? acha akili za kitumwa wewe!
 
mburukenge hao wanaotoa nyimbo za mipasho kama modern taarabu hapo bungeni ndo wana akili. Possibly wewe ni Div VI
 
ImageUploadedByJamiiForums1397810234.462842.jpghizi id za kccm zimeongezeka sana mwaka huu


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye usahili tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...
acha ujinga we mbwa MKUBWA
 
Jaman tuwe tunapost vitu vya msingi, hvi katika mambo yote ambayo unahisi tundu lisu anayafanya mabaya umeishia kumuonea huruma kwamba hata pata kazi! Hivi angekuwa anahitaji kazi ya hadi kufanyiwa usahili si angeshapata, isitoshe mshahara wake wa mwaka mmoja tu unatosha kuanzisha mradi utakaoweza mwingizia kipato kuliko kazi yoyote anayoweza kuomba na kupata kwa kutumia vyeti vyake.
 
Unaweza ukiwa sahihi lakini tukizumngumzia wanasheria wasomi Tanganyika a.k.a. Tanzania bara kwa tafasiri ya wanafiki wa ccm nayeye yumo tena ni bora si kama wanasheria wako wa vijisenti au wauza balozi zetu au wanaotumia kichwa kufugia nywele tu badala ya kutafsiri sheria
Huyu anayeitwa Mwanasheria makini (Bw.Tundu) hapa kwetu sidhani kama leo hii anaweza akatuma vyeti vyake Mckinsey na akapata kazi au hata kuitwa kwenye usahili tu... Hawa tunaowaita Wasomi ni huku huku Bongo tu ndio wanatudanga danya na vimisamiati vyao vya kiingereza na kupekuwa google lkn ikija kwenye Wasomi wa Kimataifa hamna kitu... Nina uhakika Bw.Tundu hana uwezo wa kuomba kazi Mckinsey na hata wakamfikiria, sasa huo Uanasheria wake unaoitwa Makini uko wapi? Mahakama ya Mnazi mmoja ama...
 
Back
Top Bottom