Bwana amenituma kuja humu!

Bwana amenituma kuja humu!

  • Thread starter Thread starter GY
  • Start date Start date
huyu atakua ni shori tuu, noo dauti.

karibia unapatia, endelea kidogo, maana unajimu uchwara huanza kama wako, ili reaction ya kidume iwe kukataa, sikatai wala sikubali, na mbaya zaidi sidanganyiki
 
Karibu sana jamvini,ila huyo bwana aliyekutuma tuna wasi wasi nae sana,hata sielewi alikutuma kuja hapa jf kufanya nini?can u tell me hasa umetumwa kufanya nini hapa?

kumbe si muhimu kujua kilichokuleta, mbona umetaka kujua kilichonileta
 
Karibu sana, dont hesitate be certain, umefanya chaguom jema ni sawa na mpagani kumrudiam muumba wake
 
Mpwa ahsante kwa unajimu wako. Vipi nijaribu kurusha risasi nitesti zari?

kama kawaida mlie taimingi huyu!, mbona unaweza kubeba mzigo. ila angalia ZD asijestukia, SIKUDANGANYI ila NAKUSHAWISHI tu binamu.
 
bwana wa mitandao, mijadala, ukunaji kichwa, na uchambuzi

bwana yuleyule aliyewatuma nyinyi kuja humu
Mimi hakuna Bwana aliyenituma, kwanza mimi ni Bwana halafu niwe na Bwana, inaingia akilini kweli?
 
Kama wewe ni bwana, utasemaje bwana kakutuma kuja humu? nafikiri sisi ndiyo tukuulize kama inaingia akilini. Haya bwana!
 
Karibu sana mkulu Generation-Y. Ila kumbuka si wote wasemao "Bwana Bwana watauona ufalme wa mbingu".
 
Back
Top Bottom