Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

Kama wew ni mtoto wa mchungaji...i dont think your dady kama atakua okay na hili suala lako. Sugua goti mke atapatikana
 
Nani huyu mfukua makaburi? I hope Viol uko na mke sasa maana November ndo imeshaisha hii
 
Kanisani kwenu,
Hamfundishwi kuomba ili mpate Mke sahihi?
 
Aliyeokoka wapi sasa, aliyeokoka kubakwa au kuliwana na simba???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…