Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

-awe ameokoka
-popote pale Tanzania,
-sijali dhehebu cha msingi iwe ya wokovu.
-elimu kuanzia form 6 hadi masters.
-awe ameajiriwa au hajaariwa its OK
-watoto wa wachungaji watapewa kipaombele mana mi mwenyewe...
-umri kuanzia 19-31
-tukikubaliana nitatuma wazee wangu process ianze.
-process itaanza,mipango ya ndoa lazima iwe kanisani.
-kanda ya kaskazini nawapa kipao mbele especially manyara,arusha singida tanga
-ndoa lazima kufanyika kabla ya November mwakani.
-Akubali kuja kanisani ,
-waliopo overseas nitawapa email makanisani,nitamkaribisha kanisani kwangu aje kutoa hata salamu.
Lengo lake iwe ndoa tu.

Mnakaribishwa warembo wenye sifa hizo,mi mkongwe humu ila huwa siingii sana unaweza kuni-PM namba zako za simu.
Usilitaje bure jina la BWANA Mungu wetu(sic), maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure ( Exodus 20:7)
 
Eh dunia ina mambo, unatafuta mtoto wa mchungaji na askofu jamiiforums?
Nenda kwenye mikutano ya injili utawapata huku unajaza server bwana.
 
Mlokole kamtafute kanisani, utapata mpaka reference kwa mchungaji. Hapa watu watajikoki na kukuingiza kingi buree.
God protect me from my friends i will handle my enemies,....mojawapo ya verse ya lil wayne,,ina mana ni rahisi kudeal na adui kuliko rafiki?
 
God protect me from my friends i will handle my enemies,....mojawapo ya verse ya lil wayne,,ina mana ni rahisi kudeal na adui kuliko rafiki?
Adui anaweza asijue hata unapoishi wapi.

Rafiki si tu anajua, bali ushamchongea mpaka funguo akitaka aje muda wowote aingie.

Machiavelli katika "The Prince" alisema "keep your friends close and your enemies closer".
 
nimeokoka V,imagine unavyolaliana na watu kama Nyani Ngabu we madem wengi humu ila bado upo hai,lazima uokoke
Aisee Nyani Ngabu ushawahi kufukuzia manzi wa angola?washikaji wa angola wakikuona wanamfuata manzi wako na kumwambia ana ngoma achana naye,,,,lazima uachwe

Hivi unachotaka kusema ni nini hapo?

Kwamba ninayo package au?
 
My ex, 'they become those'
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
try me first
Ukuje pm na pic kabisa... NaogopagA watu nkuone kwanza nkikuogopa bac..[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
[HASHTAG]#queendomselection[/HASHTAG]
 
..sasa kwanini usingeenda church Yenu au Ya Jirani unakimbilia social networks Mkuu,haupo serious kabisa naona
 
Adui anaweza asijue hata unapoishi wapi.

Rafiki si tu anajua, bali ushamchongea mpaka funguo akitaka aje muda wowote aingie.

Machiavelli katika "The Prince" alisema "keep your friends close and your enemies closer".
lil wayne alisema God protect me from friends i will take care from my enemies
 
Back
Top Bottom