Bwana asifiwe,Namtafuta girl aliyeokoka wa kumwoa!

Wacha kabisa pale inabidi niongeze ulinzi makwapu kwapu wasijemkwapua mapema

Naweza kuwa bodyguard wenu?

Nakuhakikishia hakuna atayewasogelea....

Atakayethibutu atapigwa bonge moja la guillotine choke apoteze fahamu kabisa!

Ngabu ni protector wa watoto wazuri wazuri.
 
Naweza kuwa bodyguard wenu?

Nakuhakikishia hakuna atayewasogelea....

Atakayethibutu atapigwa bonge moja la guillotine choke apoteze fahamu kabisa!

Ngabu ni protector wa watoto wazuri wazuri.
Ooh really?
 
..sasa kwanini usingeenda church Yenu au Ya Jirani unakimbilia social networks Mkuu,haupo serious kabisa naona
Hizo ndio Gia za sasa uonekane umeokoka kumbe unataka kula mzigo kiaina. Kuna baadhi ya wadada wataleta mrejesho hapa. Jinsi Viol alivyo wala bila hata ya kulipia hela ya bajaji.[emoji6] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna ulokole apo
 
Awe na bikira au asiwe nayo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…