Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,741
Baraza la mawakili (The Legal Education Council of Tanzania)lililoketi mwanzoni mwa wiki hii jijini Arusha ili kumtahini Bwana James Millya, Amefaulu na hivyo kuanzia sasa atajulikana kama Wakili/Advocate James Ole Millya,ambaye ni wakili wa kujitegemea.
Tunampa pongezi nyingi,na tunamtakia kila la heri katika kutetea haki nchini mwetu Tanzania. Hongera wakili Millya.
Tunampa pongezi nyingi,na tunamtakia kila la heri katika kutetea haki nchini mwetu Tanzania. Hongera wakili Millya.