Bwana Na Bibi Harusi 1905 Tanganyika

Huyo bibi harusi ni Mganga wa kienyeji
 
View attachment 1204990

Hii harusi inaelekea ilikua classic kwa enzi hizo. Mpaka walimudu gharama za picha ya kumbukumbu.
Picha rangi mwaka 1905 siyo mchezo; lakini mwaka huo si ndipo tulipokuwa na vita ya majimaji? Inawezekana kweli huyu alikuwa ni tarishi kwenye serikali ya mjerumani, akiwa anafanya kazi ofisi ya gavana. picha ilikwenda kusafishwa ujerumani na kurudishwa baada ya miaka miwili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…