“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

Vita haina macho Kiongozi. Unapikuwa umechakazwa unaweza kufanya lolote akili zitarudi baadaye wakati madhara yalishatokea.
Hawezi thubutu kufanya upuuzi huo na akithubutu atachaa vibaya mno.
 
Huu mto una maslahi ya nchi nyingi sio Ethiopia na misri tuu!! Misri asilete ubabe wa kijinga...akae mezan wazungumze na nchi wote washirika
 
Ethiopia iache kiburi maana haina uwezo wa kuikabili misri kijeshi itakuja kuharibiwa vibaya sana.
Ije kutujazia wakimbizi apa.
Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
 
Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
Tanzania inapata umeme kutoka Ethiopia?
 
Al Sisi myahudi sasa wacha apambane na Falasha
Akipiga bomu itakuwa ni kosa kubwa sana maana kila kitu kitaharibika mpaka maji yatawekewa sumu
Waache wamwage mboga
Maji hayo hayo ambayo waethiopia wanatumia? Yaani Ethiopia atie maji sumu wakati watu wake nao wanategemea hayo maji? akili au matope hayo?

USA lazima awe side ya SISI kuhakikisha Israel inakuwa salama na haianguki mikononi mwa maadui zake.
 
Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
Aache kiburi ili lisilipuliwe.
 
Hapo ndipo unaona umuhimu wa Korea Kaskazini kumiliki ile mibomu ya ICBM.

Yaani USA yy anaongozwa na maslahi mapana,hafai kuwa msuluhishi haya maji kila mtu ana haki ya kuyatumia,Ethiopia wana majanga kibao vijana wao kibao wanatoroka kwenda SA na nchi nyingine za nje,sababu kwao hamna ajira.

Hili bwawa lita stimulate uanzishwaji wa viwanda na hatimae vijana kupata ajira,unapotaka kulilipua manake unataka kuudidimiza uchumi wa Ethiopia.

Basi hapa ingekuwa kwetu TZ kuna wanasiasa wangekuwa upande wa USA,angalieni Etheopia sasa wameungana kutetea maslahi yao.
 
Huo Mto mwenye mamlaka nao ni Ethiopia, Egypt anapswa kuwa mpole.

Ina maana na sisi huku tukitaka kuwekeza/kutumia kiasi kikubwa cha maji kwenye Ziwa Victoria Misri atatuvimbishia misuli?.
 
Huu mto una maslahi ya nchi nyingi sio Ethiopia na misri tuu!! Misri asilete ubabe wa kijinga...akae mezan wazungumze na nchi wote washirika
Shaw mbona tunam-underrate sana. Anaweza sana kugongeana ujue. Yupo poor kwenye marking tuu, lakini ana speed na anaweza ile gongagonga

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Nchi zipi zingine

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…