“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

Tusaidie tafsri, Mkuu.
===
Ila Egypt wana majivuno sana, wakati Eithiopia ni wastaarabu. Nilibahatika kuwa kundi moja na wote Wamisri na Waethiopia kwenye nchi mwenyeji huko! Aisee, wamisri walifikia hatua ya kuwadharau hata wenyeji wetu! Ikafika kipindi wenyeji wakawatolea uvivu hapo ndipo wakatulia. Walitaka kuleta ngebe niliwatoa nishai!
- - -
Ni rudi kwenye mada.

Mkuu ni kweli, kuisukasuka Ethiopia bila kujali nani wako nyuma yake ni kujidanganya. Na kwa sasa nimeelewa kwa nini China aliomba nafasi ya kuweka base ya kijeshi Djibouti.
Kwanini china waliweka base yao Djibouti
 
Ethiopia iache kiburi maana haina uwezo wa kuikabili misri kijeshi itakuja kuharibiwa vibaya sana.
Ije kutujazia wakimbizi apa.
Nani kakudanganya? Bwawa lishaanza kufanya kazi
 
Back
Top Bottom