“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

“Bwawa la Ethiopia litalipuliwa”Donald Trump

The White Nile, which is the longer of the two, begins at Lake Victoria in Tanzania and flows north until it reaches Khartoum, Sudan, where it converges with the Blue Nile. The Blue Nile begins near Lake Tana in Ethiopia. The Nile River empties into the Mediterranean Sea in northern Egypt
Na takwimu zinasema maji mengi ya Nile yanatoka Blue Nile. Ndiyo maana Egypt na Sudan wamachemka
 
Maji hayo hayo ambayo waethiopia wanatumia? Yaani Ethiopia atie maji sumu wakati watu wake nao wanategemea hayo maji? akili au matope hayo?

USA lazima awe side ya SISI kuhakikisha Israel inakuwa salama na haianguki mikononi mwa maadui zake.
Weee uelewe maji yale yanaelekea misri yanatiririkia huko sumu akiweka mpakani watu wa Ethiopia wataathirika vp?
 
Weee uelewe maji yale yanaelekea misri yanatiririkia huko sumu akiweka mpakani watu wa Ethiopia wataathirika vp?
Kwa hio wanatia sumu kwenye mpaka wa nani? Wao wenyewe ama wa sudan? maana naona mto unakwenda sudan kabla kufika Egypt.
 
Duu mdogo wangu ata aujui dunia inavyo enda kumbe!!!! Ivi unazAni Ethiopia bwawa likilipuliwa nchi ngapi zitayumba????? Si umeona mpka sisi tz tunatengemea supply ya umeme toka kwao!! Ikiwa na ug pia...likilipuliwa jiandae na mgao wa umeme
Tz tunanunua umeme ethiopia?
 
Weee uelewe maji yale yanaelekea misri yanatiririkia huko sumu akiweka mpakani watu wa Ethiopia wataathirika vp?
Wasije kuthubutu kufanya ujinga wa namna hiyo kwa sababu utawa gharimu mno.
 
Narudia tena Ethiopia hana jeshi la kukabiliana na jeshi la misri hata kidogo.
Vita ikitokea Ethiopia itaharibiwa vibaya sana.
Kubisha kwako hakuwezi kubadilisha ukweli.
Alishindwa Mtaliani mwenye jeshi kubwa zaidi in 1890s itakuwa Misri.
You people never learn from history.
Tena waitaliani walipigwa na jeshi la Ethiopia lililokuwa linaongozwa na mwanamke, mke wa mfalme Manelik wa Ethiopia.

Kupigana ni spirit na si vifaa.
 
For your reference:

Ethiopian army ‘ready to protect Renaissance Dam’​


March 16, 2020 at 10:37 am | Published in: Africa, Egypt, Ethiopia, News
Ethiopian Renaissance Dam [Ethio Embassy Rwanda/Twitter]

Ethiopian Renaissance Dam [Ethio Embassy Rwanda/Twitter]

March 16, 2020 at 10:37 am

Ethiopia’s Chief of Staff, Lieutenant General Adam Mohamed, has said that the army is ready to resist any attack on the Renaissance Dam on the River Nile, and carry out counterattacks against the aggressors.
The general’s statement came during a visit with a number of other senior officers to the site of the dam in the west of the country. Brigadier General Yilma Mordesa, the commander of the Ethiopian Air Force, added that it is ready to defend the dam and the surrounding area.
 
Trump fala sana huyu mzee anachochea huu mgogoro kwa kuchombeza actions za kivita. Bila kutumia diplomacy Misri yuko disadvantaged zaidi wakae tu mezani mpaka kieleweke.
 
Mshenzi kweli. Kwa hili nampinga Trump; very stupid idea. Ethiopia itamwaga sumu mtoni halafu tuone. Sometimes ubabe una mipaka yake.
umeongea point sana,bwawa limepita sehemu nyingi ,wakilipua wazalendo watamwaga sumu halafu tuone
 
Aliyewapiga waitalia ni menelick ll
Alishindwa Mtaliani mwenye jeshi kubwa zaidi in 1890s itakuwa Misri.
You people never learn from history.
Tena waitaliani walipigwa na jeshi la Ethiopia lililokuwa linaongozwa na mwanamke, mke wa mfalme Manelik wa Ethiopia.

Kupigana ni spirit na si vifaa.
 
Ukitumia historia. Ethiopia wakati alitoka suluhu na Eritrea, Egypt alitoa suluhu na Israel. Kupigwa kwa Italy hakumaanishi eti haikuwa na jeshi imara, hata US ilifeli Vietnam na hii haimaanishi haikuwa na jeshi kali.

Ukitumia diplomasia. Russia, US, Britain na France haziwezi msaidia Ethiopia kwenye vita, msaada ataupata labda China na Turkey kiasi kidogo.

Kijeshi ndio kabisaa Ethiopia very hopeless hana uwezo wa kupigana hata na nusu ya jeshi la Egypt. Kwanza Egypt yupo kwenye harakati za vita kila siku na silaha ananunua za kutosha, kila mwaka anafanya military drills na majeshi imara duniani.

Kiuchumi Ethiopia bado sana kumfikia Egypt.

Internal mobilization bado kuna gap kubwa mno. Wamisri ukiwaambia kapiganie maji yenu ya kipekee wanaunga mkono kwa wingi, wakiyakosa tiyari ni vifo vinahesabika kwao. Waethiopia hawa wenye migogoro ya kikabila na wanaokimbia hali ngumu kwao ndio waitete nchi?
 
Ukitumia historia. Ethiopia wakati alitoka suluhu na Eritrea, Egypt alitoa suluhu na Israel. Kupigwa kwa Italy hakumaanishi eti haikuwa na jeshi imara, hata US ilifeli Vietnam na hii haimaanishi haikuwa na jeshi kali.

Ukitumia diplomasia. Russia, US, Britain na France haziwezi msaidia Ethiopia kwenye vita, msaada ataupata labda China na Turkey kiasi kidogo.

Kijeshi ndio kabisaa Ethiopia very hopeless hana uwezo wa kupigana hata na nusu ya jeshi la Egypt. Kwanza Egypt yupo kwenye harakati za vita kila siku na silaha ananunua za kutosha, kila mwaka anafanya military drills na majeshi imara duniani.

Kiuchumi Ethiopia bado sana kumfikia Egypt.

Internal mobilization bado kuna gap kubwa mno. Wamisri ukiwaambia kapiganie maji yenu ya kipekee wanaunga mkono kwa wingi, wakiyakosa tiyari ni vifo vinahesabika kwao. Waethiopia hawa wenye migogoro ya kikabila na wanaokimbia hali ngumu kwao ndio waitete nchi?
Umechambua vizuri mkuu.
 
C'est La Vie
Tusaidie tafsri, Mkuu.
===
Ila Egypt wana majivuno sana, wakati Eithiopia ni wastaarabu. Nilibahatika kuwa kundi moja na wote Wamisri na Waethiopia kwenye nchi mwenyeji huko! Aisee, wamisri walifikia hatua ya kuwadharau hata wenyeji wetu! Ikafika kipindi wenyeji wakawatolea uvivu hapo ndipo wakatulia. Walitaka kuleta ngebe niliwatoa nishai!
- - -
Ni rudi kwenye mada.

Mkuu ni kweli, kuisukasuka Ethiopia bila kujali nani wako nyuma yake ni kujidanganya. Na kwa sasa nimeelewa kwa nini China aliomba nafasi ya kuweka base ya kijeshi Djibouti.
 
Misri waache kiburi, maji mengi ya mto Nile yanapotea bure kuingia Mediterrania sea. Mbona wao walijenga zamani sana bwawa la Aswan, nani aliwapinga? USA hawana moral authority ya kufanya chochote kile kuhusiana na huu mgogoro. Misri ni lazima waheshimu nchi nyingine na right za hizo nchi kutumia mali asili ambazo zipo kimazingira.
 
Back
Top Bottom