KERO Bwawa la mavi Dodoma lipo katikati ya jiji karibu na ofisi za Waziri Mkuu

KERO Bwawa la mavi Dodoma lipo katikati ya jiji karibu na ofisi za Waziri Mkuu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
 
Naomba
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha.sinywi pombe ila kwa wafanya biashara zingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Naomba picha ya bwawa
 
bwawa halipo mbali sana na makazi ya waziri mkuu, hivi nnzi hawawezi kuruka wakafika pale kwenye makazi? au yeye huwa anapiga dawa. akaamka na tumbo au kipindupindu, mnataka viongozi wetu waugue? manake raia wa ilazo hapo najua mmewasusa. nilishangaa mno kuona icho kitu aisee, bwawa la nnya katikati ya jiji. nadhani ni kama lile la hapa mabibo dsm.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha.sinywi pombe ila kwa wafanya biashara zingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Yawezekana na hata wanaokaa karibu nalo nao pia wanapenda Kunuka / Kunukia hayo hayo Mavi.
 
nikajua huku tu,,tunapita tumeshika pua
 
Aisee enzi zetu huko palikuwa porini kabisa, maeneo ya Swaswa. Mji umekua sana JPM alichochea ukuaji wa jiji.
 
Aisee enzi zetu huko palikuwa porini kabisa, maeneo ya Swaswa. Mji umekua sana JPM alichochea ukuaji wa jiji.
mimi pia mwaka 2003 nilienda kuishi kule, hadi makole pale palikuwa eneo la kawaida, ilazo na swaswa yalikuwa mapori kabisa, kisasa yalikuwa mapori.
 
Inawezekana kabisa kuhamishwa...
imagine lipo karibu na nyumba ya PM, pale nnzi hata akisafirishwa na bajaj tu anatua pale royal afu anapanda polepole anatua kwenye mlango au kiti au meza, mwamba akija kukamata tu pale anajisahau anapangusa mkono usoni, baadaye hata akinawa kwenye uso kuna mdudu akishika tu na kushika chakula, imeisha hiyo. mtu yupo kwenye hotuba mara anashuka kwenda washroom? is that what you people want? au PM kwenu ni mtu wa kawaida tu?
 
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Wacha libaki hapo hapo mpaka CCM watakapoondolewa madarakani nalo litaondoka.
 
lakini dodoma ni makao makuu, wanamwaga majitaka/mavvi katikati ya mji? na dunia ya kipindupindu hii?
ishu sio makao makuu,,ishu ni majitaka kumwagwa kwenye makazi ya watu,,na hapo ni kwa ramani za zamani hawakufkiria kua miji itakua inabid wahamishe
 
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Unakunywa visungura na eneji kisha unaanza kuandika mbovumbovu, hayo ni majitaka, yaani maji yaliyotumika kusafisha vyombo, kufulia, kuoga na msalani.
 
Unakunywa visungura na eneji kisha unaanza kuandika mbovumbovu, hayo ni majitaka, yaani maji yaliyotumika kusafisha vyombo, kufulia, kuoga na msalani.
NI MAJI YA CHOO, yaani choo ikinyonywa kwenye makazi ya watu huwa kinaenda kumwagwa kwenye yale mabwawa. nadhani wewe hauna ubongo wa kuelewa kilichoandikwa. ukipita pale utakutana na marori nyonya mavi kibao.
 
Back
Top Bottom