KERO Bwawa la mavi Dodoma lipo katikati ya jiji karibu na ofisi za Waziri Mkuu

KERO Bwawa la mavi Dodoma lipo katikati ya jiji karibu na ofisi za Waziri Mkuu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Litazalisha nishati mbadala😏
 

Attachments

  • VID-20250113-WA0001.mp4
    14 MB
Dodoma ni mji mpya ila umepangiliwa kienyeji sana. Hata Manispaa ya Tabora ina afashali
 
Utaendeleaje kujadili mada kwa chanzo cha kusikia?
nimekwambia nimekuwa dodoma for the whole month na nina nyumba huko pia, bwawa nalijua, kipi cha kusikia sasa, au unaumwa akili?
 
Likizo yangu ya mwaka jijini Dodoma ilikuwa nzuri, tumshukuru magufuli kwa kuhamishia Serikali Dodoma, pamepambazuka sana, pamechangamka, kuanzia saa moja usiku hadi saa sita usiku panakuwa pamekucha. Sinywi pombe ila kwa wafanyabiashara nyingine safi, ni mji mzuri kwa biashara. Sisi wengine tulishajenga huko na wake zetu walivyohamia huko pamekuwa second home. Ila nina machache ya kuwaambia.

Eneo moja linaitwa ILAZO, kuna hotel moja nzuri ya shabiby nasikia, nje ya hotel penyewe barabara imejaa majitaka yanayotoka bwawa la mavi yamejaa pale na hayakauki, shuka swaswa hadi ilazo extension karibu na martin luther, ni pachafu sana. Kumbe kuna maji taka, yaani yale ya chooni wanamwaga katikati ya jiji, eneo la swaswa, yanatiririka hadi sasaivi tunavyoongea kuelekea kwenye makazi ya watu. Mvua ikinyesha mavi yanatiririka. December mvua ilinyesha hadi maeneo ya ilazo karibu na martin luther ilikuwa shida kupiga, ila maji ya chooni yaani mavvi, yanasambaa mtaani.

Hivi Dodoma jiji hamuoni umuhimu kuhamisha bwawa la kumwaga mavvi katikati ya jiji? Mbona bwawa lipo karibu kabisa na waziri Mkuu,

Siku PM akiumwa tumbo mtafanya nini? Au mnafikiri toka pale bwawani hadi kwa Pm ni mbali,nnzi hawezi kufika pale? Hibi kuna serikali kweli pale? Dodoma nzima hakuna eneo mnaweza kupeleka mavvi yale pembeni mwa mji huko?
Tumia lugha staha, sema majitaka au angalau kinyesi
 
Upo zako msibani unalia mara inapita gari kama hii
 

Attachments

  • Screenshot_20250113_140451.jpg
    Screenshot_20250113_140451.jpg
    293.3 KB · Views: 2
Lile Bwawa lilikuwa kitega uchumi Kwa Baadhi ya watu hapo Dom.
Nakumbuka kuona Gari likipakia Mboga za majani na kuzipeleka ihumwa tayari Kwa kusafirishwa kuletwa DAR.
Kuna Baadhi ya watu walikuwa wanalima Mpunga na wanavuna Mchele Safi kabisa 🤣 🤣 🤣 🤣.
Mimi mwenyewe Niliisha utafuna ikiwa Mbichi, Ni Mtamu sana aisee.
Wengine walikuwa wakivua samaki na kuwauza Mitaani.
Samaki wale walikuwa weusi sana.
Ila ni Miaka kadhaa imepita Sasa Tangu Serlikali ilipozuia shughuli Hizo kufanyika hapo kwasababu ya kulinda Afya ya Jamii zetu.
.... Ilikuwa ni Ngumu Mno Kwa Jamii kujua hao samaki na Mboga za majani vinatoka pembezoni mwa mabwawa ya majitaka ya swaswa.
 
Ujue harufu ya mavi ukishazoea kuinusa utaona ni kitu cha kawaida kama marashi au sehemu ya oxygen. Labda wameizoea na kuipenda.
 
Back
Top Bottom