Bwawa la umeme effect, Baada ya Symbion power sasa ni zamu ya SONGAS kufungashwa virago, Nimeelewa kwanini walikuwa hawalitaki bwawa lijengwe

umeme wa
maji ni cheap hivyo ktk hali ya kawaida ni bora tukatumia maji, bwawa maji yanapopungua tunatunia gasi, na vyanzo vingine.
 
Kwani hiyo mitambo ya gasi haihitaji service ya mara Kwa mara?
 
mitambo hiyo inahitaji service lkn ni baada ya masaa mengi Kwani inatembea speed ndogo.

Umeme wa maji ndio nafuu kuliko umeme wa aina yoyote.

Ndio maana china kila siku anajenga mabwawa mapya.

Canada wenyewe wapo site wanajenga bwawa
 
Umeme wa maji ndio nafuu kuliko umeme wa aina yoyote.

Ndio maana china kila siku anajenga mabwawa mapya.

Canada wenyewe wapo site wanajenga bwawa
wahuni tu ndiyo hujaa hapa kuleta hoja za ajabu ajabu,kimsingi nchi imepoteza akili kubwa sana na msaada mkubwa sana.
 
Upo sahihi hakuna mradi wa uma usio lalamikiwa kwa huduma mbovu.
Kubinafsisha shirika kubwa kama hilo kutaleta ufanisi na ushindani kwa watumishi wake.
 
mitambo hiyo inahitaji service lkn ni baada ya masaa mengi Kwani inatembea speed ndogo.
Unaweza leta data tulinganishe? Unajua engine zilizofungwa kinyerezi one Hadi nne ni za kampuni ipi na bei zao za vipuri zipoje?
 
Unaweza leta data tulinganishe? Unajua engine zilizofungwa kinyerezi one Hadi nne ni za kampuni ipi na bei zao za vipuri zipoje?
unataka data za running hours toka service hadi service au data za bei za vipuri vinavyo hitajika kwenye service?
 
Kwani hiyo mitambo ya gasi haihitaji service ya mara Kwa mara?
Mkuu unajua hata lile daraja la kigamboni linatakiwa kila baada ya siku au week tufanye ukaguzi wa zile cable lakini huwa sioni hivyo najua nachomaanisha hilo bwawa litakuja kuwalaza watu giza kwa mwezi mzima sisi akili zetu ni za kivyetu hazifanani na ngozi nyeupe naposema umeme wa gas ni muhimu sana najua nachosema na sio kuwatetea songas hata bila songas tunaweza pata wawekezaji wengine kwa makubaliano ya kibiashara na sio kifisadi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…