Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere kujengwa chini ya kiwango, naomba kuuliza haya...

Bwawa la Umeme la Mwalimu Nyerere kujengwa chini ya kiwango, naomba kuuliza haya...

Kama mwananchi wa nchi hii na mlipa kodi nimesoma na kusikia kupitia magazeti, luninga na mitandao kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere limejengwa chini ya kiwango. Naomba kuuliza maswali yafuatayo:-

(1) Kwanza Kampuni ya Misri iliyoshinda tenda ya ujenzi ilikuwa na uwezo, utaalaam, uwezo wa kifedha?. Kama sivyo kwa nini walimpa Mhe. Rais wa awamu ya tano OK kuwa Kampuni hii ina uwezo wa kulijenga bwawa hili. Inawezekana walimuogopa Mhe. Rais wa awamu ya tano kwa sababu ya kuogopa kutumbuliwa na wakamdanganya ili kazi iendelee.

(2) Je, ni Kampuni au ni Serikali iliyoteuliwa kutoa ushauri wa kitaalam?. Kama ni Kampuni binafsi inatakiwa iwajibishwe kwa kutosimamia ipasavyo taratibu zote za ujenzi kama ilivyo kwenye BOQ. lakini ni Serikali basi hii ni kosa kubwa sana kwa uamauzi uliofanywa na Serikali. Mwisho wa siku kutokana na hayo mapungufu Kampuni hiyo itakuja kuwaruka na kuitupia lawama zote Serikali.

(3) Nimesoma kuwa mpaka sasa ujenzi uko asilimia 44 tu ingawaje walitakiwa wakabidhi mradi June, 2022. Je sababu walizotoa zinaridhisha? Hapa najua watakuja na sababu ya Covi 19 na Matukio ambayo yako nje ya uwezo wao kama mvua n.k. Je Serikali imekaa nao chini na kupitia sababu zao kama ni sababu za msingi?.

(4) Kama kweli ujenzi uko chini ya kiwango ina maana dawa ni kuanza upya kwa maana kuwa yale mahandaki yanajengwa upya na kurekebisha kila kitu. Je, gharama ya marekebisho hayo nani atayabeba?. Hii ina maana kuwa muda wa kukamilisha ujenzi unaweza kwenda mpaka 2026.

(5) Je, kwanini Serikali imegeukia sasa suala la gesi na suala la Bwawa kama vile linapoapoa siyo kama zamani. Kwa hitimisho naishauri Serikali iunde Tume huru na waseme ukweli wa matatizo yote ya Bwawa hili ili taarifa ya Tume hii apelekewe Mhe. Rais ili aone la kufanya.
Nyie msiojua maana ya ujenzi mnasumbua jamvi.
Nani kakuambia kuwa bwawa limejengwa chini ya kiwango. Na kiwango chenyewe kilichowekwa ni kipi?
Ujenzi wa bwawa si ujenzi wa nyumba yako ya kuishi, kuna kitu kinaitwa empirical construction, yaani unajenga kulingana na utafiti unaopatikana kadri unavyojenga.
Na hilo linahitajika kuwapo rock scientists na maabara zao, ambao wapo.
Sasa mtu unaposema mradi ukonyuma na umekamilika by 44%, ni bora ukaeleza matazamio yako.

Kimsingi mradi unaenda vizuri, na watnzania pale Stiglaz wana chakarika, tena ile mbaya.

Mradi wenyewe wa SGR sasa unaenda miaka mitano.
Watanzania tujue kuwa Three Gorges Dam limechukua miaka 10 toka 1994 hadi 2003, pamoja na uwezo wake mkubwa wa nchi ya China.
Rennaissance Dam la Ethiopia ilitazamiwa kuchukua miaka 9, 1911 hadi 2020, lakini hadi leo halija kamilika .

Haya masuala tuwe tunajua tunachokiandika.
Kujenga miradi mikubwa siyo sawa na kuagiza gari mtumba toka Japan.
 
hii nchi ya Kis####n sana watu wanajifikiria wao tu,? Kikwete clan , makamba clan mtatuachia lini au mnataka mpaka watu waanze kuuana ?
 
Siasa siasa Siasa siasa..

Mambo ya kitaalam yanapokwenda kisiasa ndio matokeo yake, kwanini tunasema linajengwa chini ya kiwango, kupitia factor zipi tunasema haya..
 
Maghufuli hawezi kukubali such stupid thing , labda kama agenda yenu mnahisi itakwama , cha msingi liacheni Bwawa ili mtafute vyanzo vyenu mnavyoona vinafaa
Kwani hicho ni chanzo cha Magufuli?
 
Arab contractors waliwapa sub contract kampuni ya Sino hydro ya China kampuni yenye uzoefu wa kujenga mabwawa makubwa.

kwahiyo Uhakika wa ubora wa kazi upo

39289D32-A52F-44B7-9178-0306B98C4329.jpeg

A unit of Power Construction Corporation of China has inked a USD969 million subcontract with the joint venture between Egypt's Arab Contractors and Elsewedy Electric for a Tanzanian hydropower project, PowerChina said in a statement yesterday.

This is the third major engineering contract Beijing-based PowerChina's Sinohydro unit has landed this year. It earlier signed the Guinea-Kukutanba Hydropower Project with a contract value of CNY5.4 billion and the Indonesian Kayan Hydropower Project in a deal worth CNY9.2 billion.

This project mainly includes design and construction of the main dam, water diversion system, temporary roads, and 50 percent of the construction camp buildings under the Egyptian prime contractors. Construction will take 42 months to complete.

The completed facility is for the benefit of benefit Dodoma-based Tanzania Electric Supply, industry news portal Hydroworld reported. Tanzania's government green-lighted construction of the facility in January. Arab Contractors won the bid in October to design and build the 134-meter high dam and power plant, which has a projected reservoir length of 100 kilometers, and will inundate around 1,350 square km. The dam height is about 134 meters. The project will more than treble Tanzania's current 562-megawatt installed hydropower capacity.
 
Huo mradi ulipigwa vita kubwa mno kabla haujaanza. Kama upo 44% na 6 trillions zilishalala pale inasumbua akili kukubaliana na hili. Kwa ufupi tusipokuwa macho lobbyists wataturudisha tulipotoka. Vyombo viwe macho!
Nyinyi ndio mazezeta ya marehemu mlioachwa, unaambiwa bwawa lipo chini ya kiwango na limefikia asilimia 44mpaka sasa na Waziri wa sasa ana miezi mitatu tu. Yule mnaemuabudu alikuwa mpigaji hatari kuliko mnavyodhania. Fungua akili yako fikiria nje ya box ujue ukweli ndio uanze bra bra....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kama mwananchi wa nchi hii na mlipa kodi nimesoma na kusikia kupitia magazeti, luninga na mitandao kuwa Bwawa la Mwalimu Nyerere limejengwa chini ya kiwango. Naomba kuuliza maswali yafuatayo:-

(1) Kwanza Kampuni ya Misri iliyoshinda tenda ya ujenzi ilikuwa na uwezo, utaalaam, uwezo wa kifedha?. Kama sivyo kwa nini walimpa Mhe. Rais wa awamu ya tano OK kuwa Kampuni hii ina uwezo wa kulijenga bwawa hili. Inawezekana walimuogopa Mhe. Rais wa awamu ya tano kwa sababu ya kuogopa kutumbuliwa na wakamdanganya ili kazi iendelee.

(2) Je, ni Kampuni au ni Serikali iliyoteuliwa kutoa ushauri wa kitaalam?. Kama ni Kampuni binafsi inatakiwa iwajibishwe kwa kutosimamia ipasavyo taratibu zote za ujenzi kama ilivyo kwenye BOQ. lakini ni Serikali basi hii ni kosa kubwa sana kwa uamauzi uliofanywa na Serikali. Mwisho wa siku kutokana na hayo mapungufu Kampuni hiyo itakuja kuwaruka na kuitupia lawama zote Serikali.

(3) Nimesoma kuwa mpaka sasa ujenzi uko asilimia 44 tu ingawaje walitakiwa wakabidhi mradi June, 2022. Je sababu walizotoa zinaridhisha? Hapa najua watakuja na sababu ya Covi 19 na Matukio ambayo yako nje ya uwezo wao kama mvua n.k. Je Serikali imekaa nao chini na kupitia sababu zao kama ni sababu za msingi?.

(4) Kama kweli ujenzi uko chini ya kiwango ina maana dawa ni kuanza upya kwa maana kuwa yale mahandaki yanajengwa upya na kurekebisha kila kitu. Je, gharama ya marekebisho hayo nani atayabeba?. Hii ina maana kuwa muda wa kukamilisha ujenzi unaweza kwenda mpaka 2026.

(5) Je, kwanini Serikali imegeukia sasa suala la gesi na suala la Bwawa kama vile linapoapoa siyo kama zamani. Kwa hitimisho naishauri Serikali iunde Tume huru na waseme ukweli wa matatizo yote ya Bwawa hili ili taarifa ya Tume hii apelekewe Mhe. Rais ili aone la kufanya.
Kinachotafutwa ni justification ya kuanzisha upya mradi huku ukiwa umesetiwa 10% za Msoga Cartel. Sahizi huo mradi hauna tija kwa Mafisadi
 
Nyinyi ndio mazezeta ya marehemu mlioachwa, unaambiwa bwawa lipo chini ya kiwango na limefikia asilimia 44mpaka sasa na Waziri wa sasa ana miezi mitatu tu. Yule mnaemuabudu alikuwa mpigaji hatari kuliko mnavyodhania. Fungua akili yako fikiria nje ya box ujue ukweli ndio uanze bra bra....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Alikuwa mpigaji ila umeme haukuwa kero kama kwa huyu mpiga domo...Utaweza kushawishije watu wamchukie kwa mambo ambayo yako dhahiri?
 
Sijui kuhusu daraja la Tanzanite, sijapita pale. Lakini miradi mingi ya JPM ipo chini ya kiwango. 1. Magufuli hotels: walichopatia pale ni jina tu.
2. Mfugale/Kijazi flyovers: ovyo kabisa
3. Bwawa la MJN: mradi uliohitaji akili kubwa ukajengwa kishkaji
4. Barabara: sub-standards za hatari nyingine hata magari hayapishashani.

Kifupi transparency is key!
Na mabweni ya udsm yaliyopasukapasuka yalijengwa chini ya kiwango
 
Mpiga domo au machuki yenu tu kwake... kachaguliwa tu makelele hata hajaingia kazini..

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa unalazimishaje tumpende mtu ambaye hana uwezo wa ku perform? We kama anakununuliaga bia za offer lazma uchukie akipewa za uso we ni chawa wake tu!
 
Nyinyi ndio mazezeta ya marehemu mlioachwa, unaambiwa bwawa lipo chini ya kiwango na limefikia asilimia 44mpaka sasa na Waziri wa sasa ana miezi mitatu tu. Yule mnaemuabudu alikuwa mpigaji hatari kuliko mnavyodhania. Fungua akili yako fikiria nje ya box ujue ukweli ndio uanze bra bra....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Alikuwa mpigaji bila shaka alimpiga hata maza ako mzee sio kwa chuki hizo
 
Siasa siasa Siasa siasa..

Mambo ya kitaalam yanapokwenda kisiasa ndio matokeo yake, kwanini tunasema linajengwa chini ya kiwango, kupitia factor zipi tunasema haya..
Kwa sababu Msoga na Makamba Cartel hawana mirija yao humo😅 these muthafuckaz never cease to eat! Wanataka wa reform mikataba ili waweke watu wao na wachomeke 10% ndio ambacho kinatafutwa humo.

Hawajawahi kuridhika yani licha ya kuila nchi in million for years. Wameamua kurithisha vijana wao tu
 
5) Je, kwanini Serikali imegeukia sasa suala la gesi na suala la Bwawa kama vile linapoapoa siyo kama zamani. Kwa hitimisho naishauri Serikali iunde Tume huru na waseme ukweli wa matatizo yote ya Bwawa hili ili taarifa ya Tume hii apelekewe Mhe. Rais ili aone la kufanya.
Naungana na Extrovert kwenye kicheko.
 
Mnaami hizi propaganda za kijinga,?? Kampuni kubwa kama hiyo haiwezi Jenga chini ya kiwango. Vyombo vya ulinzi na usalama nchi hii visikubali taifa kuchezewa na kikundi Cha watu wachache... maslahi ya taifa hili ni mapana kuliko interests za watu wachache wasiokuwa na chembe ya uzalendo kwa taifa. Wao wanawazia pesa tu bila kujali kuna vizazi vinakuja.
I am wondering how this is possible, and what is wrong with us?
 
Huu ni ujinga wa waziri aliyeupinga mradi huo kwa 100% akiwa mazingira.
Huyu ndiye alikuja na hoja ya kuwa hakuna crane za kubeba milango.

Huyu ndio amekuja na hoja kuwa imebidi umeme ukatike nchi nzima maana awamu 5 Tanesco walizuiwa kupafanya periodic maintenance, ndani ya 24 hrs akasema umeme upo mabwawa yamejaa na kuwa kile kiwango cha umeme waliokadiria kuwa pungufu kumbe KIPO ni boyaaaaa huyu dogo, i.e ukiona mtu ananyoa dongo jiulize sana.
Huyu ndiwe amekuja na hoja kuwa mradi ulikuwa nyuma 400days. Kama ylikuwa nyuma crane zilikuwa za nini ?

Huyu ndiye waziri ambaye badala awajibu akina msukuma (wa Phd) kwa hoja za kisayansi na kuwanyamazisha. Anajipendekeza kwa rais kwa kusema yule walimpa miaka 6 wampe na mama na yule mwenzangu walimpa 4 wanipe na mimi. He is rubbish.

Siwezi kumuamini, labda mzee Mdee huyo akitoa kauli nitaamini.

Lkn walienda waandishi wa habari, wabunge na wengine wengi si watuambie nini ni nini? Sio marope


Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi ndio mazezeta ya marehemu mlioachwa, unaambiwa bwawa lipo chini ya kiwango na limefikia asilimia 44mpaka sasa na Waziri wa sasa ana miezi mitatu tu. Yule mnaemuabudu alikuwa mpigaji hatari kuliko mnavyodhania. Fungua akili yako fikiria nje ya box ujue ukweli ndio uanze bra bra....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Una tatizo la akili na uelewa.
 
Back
Top Bottom