BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Wameanza na magari matatu ambayo ni top-selling Duniani.

Kwanza ni BYD Seal ambayo ni sedan.

IMG_0116.jpeg

Hii kwa ufupi ina battery la 62 kWh au 83 kWh, zinazokupa range ya 460 au 570 kilometa.

IMG_0141.jpeg



IMG_0140.jpeg


Ya pili ni BYD Atto 3 jina jingine BYD Yuan Plus ambayo ni SUV.

IMG_0118.jpeg


Inakuja na battery la 50 kWh itakayokupa kilometa 430 au ukitaka battery kubwa 60 kWh itakupa 510 kilometa.
IMG_0142.jpeg
IMG_0143.jpeg


Na mwisho wapenzi wa magari madogo, Hatchback kuna hii BYD Dolphin.

IMG_0120.jpeg


Hii inakuja na battery za aina tofauti tofauti kuanzia 40 kWh hadi 60 kWh zitakazokupa range tofauti tofaut kuanzia Kilometa 350 hadi 600.
IMG_0144.jpeg
IMG_0145.jpeg

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.

Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

IMG_0124.jpeg


Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
IMG_0121.jpeg

Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

IMG_0066.jpeg

Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
IMG_0123.jpeg

Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
 
Safi sana...Maana yake sasa itakuwa rahisi kuendesha magari, maana unachaji tu, hahuhitaji petroli. Sisi hatuwezi kwenda huko, sababu , bado tumemkumbatia mwarabu. Na tunahangaika na gesi...Ila gari za kuchaji ndio zenyewe.
 
Safi sana...Maana yake sasa itakuwa rahisi kuendesha magari, maana unachaji tu, hahuhitaji petroli. Sisi hatuwezi kwenda huko, sababu , bado tumemkumbatia mwarabu. Na tunahangaika na gesi...Ila gari za kuchaji ndio zenyewe.
Kweli mkuu.
No Petrol
No oil
No gearbox oil
 
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Bei elekezi. Nataka nichange hela hadi 2040 ninunue gari ya umeme. Kama nitakuwepo.
 
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Upo vyema ndugu
 
Back
Top Bottom