Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee Kwa style hii Acha tuchange pesa Tu, haya magari kila MTU anatamani KUMILIKINanunua na charging port naweka home.
Tutaachwa na kila teknolojia. Tutakuja shtuka tumechelewa.Sisi ndio kwanza tunaporutubisha mahusiano na wazalishaji na wamiliki wa visima vya mafuta. Ndio kwanza tunajenga vituo vya mafuta mpaka mitaa ya makazi. Maendeleo ya EV ni ndoto. Kuna vijana wa DIT waliwahi kuunda gari ya umeme japo finishing yake haikuwa ya kuvutia, ilikuwa inaletwa kwenye maonyesho, kila mwaka na mawaziri wanakuja wanaikagua inarudi Dar kwa miaka 2 mfululizo. Serikali ingewapa mtaji vijana hao na kuwaongezea watalaam leo tungekuwa mbali. Kenya wametumia technology ya nje. Uganda wametumia zaidi vijana wa ndani. Tanzania hatuna hata wazo zaidi ya kupandishiana bei ya mafuta.
Kuchajia home cheap kinoma ila slow. Ukirudi home unachomeka charge unaenda kulala. Unakuta hadi asubhi imetoka 30% hadi 70% hivi.Aisee Kwa style hii Acha tuchange pesa Tu, haya magari kila MTU anatamani KUMILIKI
Yakiwa mengi, kodi zilizo kwenye mafuta zinahamia kwenye umeme, shida inakua ni ile ileSafi sana...Maana yake sasa itakuwa rahisi kuendesha magari, maana unachaji t hahuhitaji petroli. Sisi hatuwezi kwenda huko, sababu , bado tumemkumbatia mwarabu. Na tunahangaika na gesi...Ila gari za kuchaji ndio zenyewe.
Tumeamua kuwatajirisha wenye visima vya mafuta. Bora hata tungetafiti kupata mafuta yetu wenyewe kama UgandaTutaachwa na kila teknolojia. Tutakuja shtuka tumechelewa.
Gesi yetu bei ikoje?Tumeamua kuwatajirisha wenye visima vya mafuta. Bora hata tungetafiti kupata mafuta yetu wenyewe kama Uganda
Bado iko juu, hata tukigundua mafuta yetu yatauzwa kwa bei hizo hizo za juu.Tsh 25k mtungi mdogo.
Zote hizo ni kasoroGesi yetu bei ikoje?
Nakumbuka, wafadhili wa mradi fulani hapa Tanzania ,siwezi kuutaja toka Scandinavian countries, wao kwao, ulaya wanaenda ofisini na baiskeli ili ku save hela kutusaidia. Walipokuja kukagua mirafi hapa kwetu, wakashangaa fedha hazijapelekwa kwenye mradi walivyokusudia, badala yake wamenunua land cruiser vx kuendea kuangalia miradi. Sasa linganisha mfadhili anatembelea baiskeli ya laki 2, maskini anayefadhiliwa ananunua vx ya milioni 600.Bado iko juu, hata tukigundua mafuta yetu yatauzwa kwa bei hizo hizo za juu.
Atleast kwenye ili wangejatibu kua serious.Si tumekalia uchawa na ccm tu
Wanafisadi halafu hawafanywi kitu chochote refer report ya CAGWatanzania tupo matakoni mwa dunia.
Kama taifa hatujui tukitakacho, sera zetu mbovu mwaka wa 60+ toka tupate uhuru, sisi ni kujenga mashimo ya choo, maji mtihano, umeme shida, huduma za afya kero, barabara..
Viongozi wetu mafisadi waliokubuhu.
Bongo ni uchawa tu, vyeo wanapeana kwa ahsante na kujuana.Tatizo la Tanzania ni uongozi na pia elimu yetu ni finyu. Hivi umeshawahi kuangalia bunge la Kenya ukaona majadiliano yao? Wabunge wanaongea mambo ya maana na wanajua kiingereza. Unaona kabisa ni watu wenye upeo na elimu yao inawasaidia. Sisi huku kwetu kina Kibajaji na Kasheku wanaweza nini? Bunge zima limejaa mapambio ya kumsifu Samia. Hata level ya urais huwezi kumlinganisha Ruto na Samia. Kwa upeo alionao, Samia hawezi kupata ubunge Kenya.