BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

BYD wazindua magari yao maarufu matatu ya umeme (Dolphin, Seal na Atto 3) nchini Kenya

Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Kenya wanawavutiaje hawa wawekezaji wakubwa?
Why not tanzania?
 
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Umeme tunao wa kutosha tuingie kwenye magari ya umeme tuache mafuta yanayotugharimu pesa nyingi za kigeni
 
Kenya serikali inaheshimu wananchi kwa sababu wamekwisha tiana adabu toka kitambo..

Kama suala la starlink safaricom walitaka leta janja janja kuiomba serikali kuwazuia starlink, wananchi wakasimama kupinga, hatimae Kenya wameletewa hadi router ndogo ya starlink inaitwa starlink mini, ina bei ngogo kabisa na size ndogo ukubwa wa tablet.
images

Tusitegemee kila kitu kuketewa endapo tumesinzia kama nyumbu...

Mambo kama haya pasipo wananchi kusimama kupaza sauti , kiongozi gani serikalini atakukumbuka wewe mwenzako anaendeshwa na gari thamani 400M Tshs.
 
Kenya serikali inaheshimu wananchi kwa sababu wamekwisha tiana adabu toka kitambo..

Kama suala la starlink safaricom walitaka leta janja janja kuiomba serikali kuwazuia starlink, wananchi wakasimama kupinga, hatimae Kenya wameletewa hadi router ndogo ya starlink inaitwa starlink mini, ina bei ngogo kabisa na size ndogo ukubwa wa tablet.
images

Tusitegemee kila kitu kuketewa endapo tumesinzia kama nyumbu...

Mambo kama haya pasipo wananchi kusimama kupaza sauti , kiongozi gani serikalini atakukumbuka wewe mwenzako anaendeshwa na gari thamani 400M Tshs.
Dah hiyo router imeniuma aisee. Tunateseka sana internet hii nchi.

Hapa nina gobole la Airtel nimeshindwa kulipia 110k lipo kama maonesho.
 
Ndio, haujakosea kusoma.

Officially kampuni maarufu duniani la kutengeneza magari ya umeme kutoka China, BYD wameingia Kenya. Sio kwa used car, bali officially kama sisi Tanzania wanavyoingia San LG.

Ni magari matatu top selling ta BYD kuanzia Seal ambayo ni sedan.

View attachment 3114185

Ya pili ni Atto 3 ambayo ni SUV.
View attachment 3114186
Na mwisho wapenzi wa Hatchback kuna hii Dolphin.

View attachment 3114187

Hii Dolphin itawavutia Wakenya wengi ukitegemea bei yake ya kuzinduliwa kuwa chini ya $10,000/= tu.


Kenya wanazidi kuuonesha ulimwengu kwamba wako serious na transformation ya kutoka magari ya kutumia mafuta kwenda kwenye magari ya umeme.

Kuna mtu alinilipua uko ananunua Model X.

View attachment 3114198

Wametoka kuingia Partnership na kampuni la Kichina la magari Cherry hivi karibuni.
View attachment 3114196
Pia, karibuni walizindua vituo vya kuchaji magari na kuongeza sheria kwamba kila commercial building lazima itenge 5% ya parking yake kwaajili ya spots za kuchajia magari ya umeme.

View attachment 3114195
Pia walizindua mabus ya umeme ya kwanza kua assembled nchini kwao na wanataka by 2027 mabasi yote local yawe ya EV.
View attachment 3114197
Na mwisho wameintroduce sheria ya kupunguza kodi ya magari ya hybrid na umeme na vile vile wameondoa ukomo wa umri wa magari ya umeme.


Ni muda sasa wa Tanzania na sisi kuwakaribisha investors kutoka China na sisi tupate 0 km za EV.

Pamoja.
Hii nchi inahujumiwa na CCM
 
Watanzania tupo matakoni mwa dunia.

Kama taifa hatujui tukitakacho, sera zetu mbovu mwaka wa 60+ toka tupate uhuru, sisi ni kujenga mashimo ya choo, maji mtihano, umeme shida, huduma za afya kero, barabara..
Viongozi wetu mafisadi waliokubuhu.
 
Watanzania tupo matakoni mwa dunia.

Kama taifa hatujui tukitakacho, sera zetu mbovu mwaka wa 60+ toka tupate uhuru, sisi ni kujenga mashimo ya choo, maji mtihano, umeme shida, huduma za afya kero, barabara..
Viongozi wetu mafisadi waliokubuhu.
Tatizo la Tanzania ni uongozi na pia elimu yetu ni finyu. Hivi umeshawahi kuangalia bunge la Kenya ukaona majadiliano yao? Wabunge wanaongea mambo ya maana na wanajua kiingereza. Unaona kabisa ni watu wenye upeo na elimu yao inawasaidia. Sisi huku kwetu kina Kibajaji na Kasheku wanaweza nini? Bunge zima limejaa mapambio ya kumsifu Samia. Hata level ya urais huwezi kumlinganisha Ruto na Samia. Kwa upeo alionao, Samia hawezi kupata ubunge Kenya.
 
Back
Top Bottom