Bye bye ios

Bye bye ios

5 yrs experience kwenye ios na hunitoi na huniambii kitu.
Nb. Apple products are the best nipo na full package apa macbook [emoji335] smartwatch sijui utanambia nn

Tena hizo apple products zinafanya vizuri zaid ukiwa kwa ecosystem ya apple smart watch, MacBooks na phone sio poa hiyo ni killer combo
 
Mkuu hii 4k na 8k upande wa video ina maana gani ,alafu why kun video zingine youtube zina 1440 ukiziplay kwa note 10 redmi hazifanyi kazi ilihali 1080 inafanyaView attachment 1795767
Hizo ni resolution ama idadi ya pixel kwenye display/video

Simu yako wewe kioo chake ni 1080p hivyo video yoyote ya 1440p (2k), 4k ama 8k kwako haina maana.

Kifupi kwa simu hizo 4k na 8k hazina maana sana kwenye kuplay ila kwenye TV, monitor kubwa, cinema na maeneo mengine ambayo display ni kubwa zina maana, hivyo mtu anaweza kutumia simu yake kurecord video Kisha kuplay kwenye TV yake ama computer.
 
Hizo ni resolution ama idadi ya pixel kwenye display/video

Simu yako wewe kioo chake ni 1080p hivyo video yoyote ya 1440p (2k), 4k ama 8k kwako haina maana.

Kifupi kwa simu hizo 4k na 8k hazina maana sana kwenye kuplay ila kwenye TV, monitor kubwa, cinema na maeneo mengine ambayo display ni kubwa zina maana, hivyo mtu anaweza kutumia simu yake kurecord video Kisha kuplay kwenye TV yake ama computer.
Asante obeja sana
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.


Bajeti yangu ni Laki Tano.
Mkuu, tafuta Google Pixel nakuhakikishia narudia tena, nakuhakikishia huna cha kupoteza hutajutia na Utanishukuru sana!
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.


Bajeti yangu ni Laki Tano.
Ina maana Samsung nao wanatumia MTK...?
 
Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.

Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.

Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.

Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.

Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.

Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo

Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.


Bajeti yangu ni Laki Tano.
mkuu ulikuwa una miliki iphone ya aina gani...

na kwani Iphone ina kula sana bando au sijaelewa maana tuna taka tu dubbukie huko
 
Shida ya Samsung ni battery kutostore power kwa muda mrefu

Yaani inaisha chaji chap hadi kero sasa
 
Shida ya Samsung ni battery kutostore power kwa muda mrefu

Yaani inaisha chaji chap hadi kero sasa
Hyo inategemea ni gani. Sio kwamba Samsung ndio zipo hvo. Ukinunua simu za Samsung refurbished ndio zinakua hvo. Ukinunua Samsung mpya itakua vizuri tu kwenye charge
 
Chief sorry, kati ya alibaba, amazon, aliexpress wapi kuzuri kuagiza mizigo / kununua products?

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Alibaba inauza vitu kwa jumla yaani idadi kubwa ya mzigo, AliExpress wao ni kampuni tanzu ya Alibaba wanauza reja reja na ndiyo wanafaa. Hao Amazon wamarekani gharama ni kubwa vile vile Ebay. Nilianza kununulia Ebay Samsung yangu ila sasa nina brand nzuri ya Kichina nimenunua kupitia AliExpress.

Sent from my N20 using JamiiForums mobile app
 
Mtoa post nina mashaka na wewe ni ngum kutumia iphon kwa miaka 7 halaf leo uje useme ivo ukishatumia iphon miak 3 tu bas unakuwa Addicted na Iphone sasa ww miaka 7. Nima mashaka na ww
 
Back
Top Bottom