Bye bye ios

Bye bye ios

Unajua toka mwaka 2015 apple alifile patent ya curved screen ila mpaka leo hajawahi kuitumia. nasubiri siku aitumie nione itakuwaje.
Ukiona hivyo kaihifadhi kwa yajayo.

Ana mahesabu team yenye mahesabu mazuri sana.
 
Yes, na mwaka jana kafile patent ya desktop yenye curved glass iliyoungana na keyboard
Anajua kwenye upande wa research kunakwangua mfuko,anachofanya ni kujiandaa kuziboresha hizi hizi tafiti za waliozifanya juu juu.
 
Anajua kwenye upande wa research kunakwangua mfuko,anachofanya ni kujiandaa kuziboresha hizi hizi tafiti za waliozifanya juu juu.
Jamaa slow mover, mpaka sasa hajatoa laptop ambayo ni touch. 3D touch kwenye iphone aliiondoa pia kwakuwa anada wengi walikuwa hawaitumii na walahawaui uwepo wake.
 
Yes, na mwaka jana kafile patent ya desktop yenye curved glass iliyoungana na keyboard
Issue ni kwamba Apple hafanyi gimmicks. Anakueletea product inayofanya kazi vizuri katika kila sector. Simu za Android nyingi zinategemea gimmicks ili kuuza simu. Watakuletea 100x zoom mwaka huu then wanaitoa mwaka ujao. Mara mwaka huu kakuletea 60W fast charging then mwaka ujao anaitoa na kurudisha 25W. Huu ndio upuuzi wa Android manufacturers. OEMs hawako consistent kma Apple alivyo na Apple anatoa refined products.

Mm nazikubali simu za Google Pixel & Sony sababu zipo consistent kma walivyo Apple. Hawategemei gimmick features ili kuuza simu. Wanakupa simu inayofanya kazi inayotakiwa. Google waliboronga na Google Pixel 5 tu sababu ni downgrade ukilinganisha na 4 ila ni simu zenye user experience nzuri sana.

Mimi situmii iPhone kwasabab ya iOS tu. Sitaki mambo ya kufanya step 10 kwa jambo ambalo ningetumia step 2 kwenye Android. Ila kma iPhones zingekua na option ya kuinstall Android ningezitumia 100%.
 
Issue ni kwamba Apple hafanyi gimmicks. Anakueletea product inayofanya kazi vizuri katika kila sector. Simu za Android nyingi zinategemea gimmicks ili kuuza simu. Watakuletea 100x zoom mwaka huu then wanaitoa mwaka ujao. Mara mwaka huu kakuletea 60W fast charging then mwaka ujao anaitoa na kurudisha 25W. Huu ndio upuuzi wa Android manufacturers. OEMs hawako consistent kma Apple alivyo na Apple anatoa refined products.

Mm nazikubali simu za Google Pixel & Sony sababu zipo consistent kma walivyo Apple. Hawategemei gimmick features ili kuuza simu. Wanakupa simu inayofanya kazi inayotakiwa. Google waliboronga na Google Pixel 5 tu sababu ni downgrade ukilinganisha na 4 ila ni simu zenye user experience nzuri sana.

Mimi situmii iPhone kwasabab ya iOS tu. Sitaki mambo ya kufanya step 10 kwa jambo ambalo ningetumia step 2 kwenye Android. Ila kma iPhones zingekua na option ya kuinstall Android ningezitumia 100%.
Sure, kama feature haina kazi ya kueleweka wanaweka pending.
 
Hizo simu huwa mnauziwa wapi?

Mimi nina simu yenye MTK na huu ni mwaka wangu wa pili naitumia, wala sijawahi kuona hayo mapungufu mnayosema.

Cha acheni kununua second hand materials
Mimi nimetumia MTK 1 kwa miaka mi5 hadi nilipoamua mwenyewe kuachana nayo sikuwahi kupata issue yoyote. Hadi sasa inatumika kwani nilimpa mtu, inadunda fresh.
Naungana na wewe kuwa ni suala la kuchagu tu
 
Mimi nimetumia MTK 1 kwa miaka mi5 hadi nilipoamua mwenyewe kuachana nayo sikuwahi kupata issue yoyote. Hadi sasa inatumika kwani nilimpa mtu, inadunda fresh.
Naungana na wewe kuwa ni suala la kuchagu tu
Kuna wala ugali wasioweza kutengeneza hata toothpick wanalishana ujinga
 
Issue ni kwamba Apple hafanyi gimmicks. Anakueletea product inayofanya kazi vizuri katika kila sector. Simu za Android nyingi zinategemea gimmicks ili kuuza simu. Watakuletea 100x zoom mwaka huu then wanaitoa mwaka ujao. Mara mwaka huu kakuletea 60W fast charging then mwaka ujao anaitoa na kurudisha 25W. Huu ndio upuuzi wa Android manufacturers. OEMs hawako consistent kma Apple alivyo na Apple anatoa refined products.

Mm nazikubali simu za Google Pixel & Sony sababu zipo consistent kma walivyo Apple. Hawategemei gimmick features ili kuuza simu. Wanakupa simu inayofanya kazi inayotakiwa. Google waliboronga na Google Pixel 5 tu sababu ni downgrade ukilinganisha na 4 ila ni simu zenye user experience nzuri sana.

Mimi situmii iPhone kwasabab ya iOS tu. Sitaki mambo ya kufanya step 10 kwa jambo ambalo ningetumia step 2 kwenye Android. Ila kma iPhones zingekua na option ya kuinstall Android ningezitumia 100%.
Na ukiona app haionekani app store ujue haijafika standards za kuwekwa huko.

App nyingi za android zina install malware zenyewe.
 
Issue ni kwamba Apple hafanyi gimmicks. Anakueletea product inayofanya kazi vizuri katika kila sector. Simu za Android nyingi zinategemea gimmicks ili kuuza simu. Watakuletea 100x zoom mwaka huu then wanaitoa mwaka ujao. Mara mwaka huu kakuletea 60W fast charging then mwaka ujao anaitoa na kurudisha 25W. Huu ndio upuuzi wa Android manufacturers. OEMs hawako consistent kma Apple alivyo na Apple anatoa refined products.

Mm nazikubali simu za Google Pixel & Sony sababu zipo consistent kma walivyo Apple. Hawategemei gimmick features ili kuuza simu. Wanakupa simu inayofanya kazi inayotakiwa. Google waliboronga na Google Pixel 5 tu sababu ni downgrade ukilinganisha na 4 ila ni simu zenye user experience nzuri sana.

Mimi situmii iPhone kwasabab ya iOS tu. Sitaki mambo ya kufanya step 10 kwa jambo ambalo ningetumia step 2 kwenye Android. Ila kma iPhones zingekua na option ya kuinstall Android ningezitumia 100%.
kwamba iphone hazina Gimmick? 3d touch, Ar ya iphone(animoji), retina display, notch, soc yao wenyewe A14 ni gimmick, benchmark ina score 1000 real life 500, Apple na Samsung wapo dunia yao wenyewe linapokuja suala la Gimmicks aisee.

kwenye simu Hands down asus kwa sasa ndio ana innovate kushinda wote, kwa muono wangu.
 
kwamba iphone hazina Gimmick? 3d touch, Ar ya iphone(animoji), retina display, notch, soc yao wenyewe A14 ni gimmick, benchmark ina score 1000 real life 500, Apple na Samsung wapo dunia yao wenyewe linapokuja suala la Gimmicks aisee.

kwenye simu Hands down asus kwa sasa ndio ana innovate kushinda wote, kwa muono wangu.
Zenfone 8 nimeielewa saana
 
Huna hela mkuu, mbona sisi tunatumia na tunapata nyinbo tunazozitaka.....pata pesa ndio utajua utamu wa iphone
 
hata mimi nimeielewa sana, pamoja na Rog phone 5
Mkuu hii 4k na 8k upande wa video ina maana gani ,alafu why kun video zingine youtube zina 1440 ukiziplay kwa note 10 redmi hazifanyi kazi ilihali 1080 inafanya
IMG_20210524_052000.jpg
 
Naomba ufafanuzi pia kwenye RGB light panel na hio resolution ,pia hawa rog 5 ni kampuni gani jamaa wananiteka sana
IMG_20210524_052815.jpg
IMG_20210524_052815.jpg
 
kwamba iphone hazina Gimmick? 3d touch, Ar ya iphone(animoji), retina display, notch, soc yao wenyewe A14 ni gimmick, benchmark ina score 1000 real life 500, Apple na Samsung wapo dunia yao wenyewe linapokuja suala la Gimmicks aisee.

kwenye simu Hands down asus kwa sasa ndio ana innovate kushinda wote, kwa muono wangu.
3D touch ashaiondoa watu wengi hawakuipokea vizuri
 
5 yrs experience kwenye ios na hunitoi na huniambii kitu.
Nb. Apple products are the best nipo na full package apa macbook 💻 smartwatch sijui utanambia nn
 
Back
Top Bottom