5 yrs experience kwenye ios na hunitoi na huniambii kitu.
Nb. Apple products are the best nipo na full package apa macbook [emoji335] smartwatch sijui utanambia nn
yaah sure kiongoziTena hizo apple products zinafanya vizuri zaid ukiwa kwa ecosystem ya apple smart watch, MacBooks na phone sio poa hiyo ni killer combo
Hizo ni resolution ama idadi ya pixel kwenye display/videoMkuu hii 4k na 8k upande wa video ina maana gani ,alafu why kun video zingine youtube zina 1440 ukiziplay kwa note 10 redmi hazifanyi kazi ilihali 1080 inafanyaView attachment 1795767
Asante obeja sanaHizo ni resolution ama idadi ya pixel kwenye display/video
Simu yako wewe kioo chake ni 1080p hivyo video yoyote ya 1440p (2k), 4k ama 8k kwako haina maana.
Kifupi kwa simu hizo 4k na 8k hazina maana sana kwenye kuplay ila kwenye TV, monitor kubwa, cinema na maeneo mengine ambayo display ni kubwa zina maana, hivyo mtu anaweza kutumia simu yake kurecord video Kisha kuplay kwenye TV yake ama computer.
Mkuu, tafuta Google Pixel nakuhakikishia narudia tena, nakuhakikishia huna cha kupoteza hutajutia na Utanishukuru sana!Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Bajeti yangu ni Laki Tano.
Ina maana Samsung nao wanatumia MTK...?Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Bajeti yangu ni Laki Tano.
Hii ni simu aina gani mkuu?Mchina ni disaster,hii ni concept
Ila usishangae apple au samsung wakaidaka akizubaa,maana maumbo ya simu za iphone na samsung yanafika mwisho siku hizi.View attachment 1795225View attachment 1795226
mkuu ulikuwa una miliki iphone ya aina gani...Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Bajeti yangu ni Laki Tano.
Chief sorry, kati ya alibaba, amazon, aliexpress wapi kuzuri kuagiza mizigo / kununua products?Agiza alibaba mkuu. Mimi mwezi wa saba naagiza hiyo chuma
Ushachukua kumbe.Ahsante mkuu nilichukua redmi note 10
Hyo inategemea ni gani. Sio kwamba Samsung ndio zipo hvo. Ukinunua simu za Samsung refurbished ndio zinakua hvo. Ukinunua Samsung mpya itakua vizuri tu kwenye chargeShida ya Samsung ni battery kutostore power kwa muda mrefu
Yaani inaisha chaji chap hadi kero sasa
Alibaba inauza vitu kwa jumla yaani idadi kubwa ya mzigo, AliExpress wao ni kampuni tanzu ya Alibaba wanauza reja reja na ndiyo wanafaa. Hao Amazon wamarekani gharama ni kubwa vile vile Ebay. Nilianza kununulia Ebay Samsung yangu ila sasa nina brand nzuri ya Kichina nimenunua kupitia AliExpress.Chief sorry, kati ya alibaba, amazon, aliexpress wapi kuzuri kuagiza mizigo / kununua products?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Alexpress mkuuChief sorry, kati ya alibaba, amazon, aliexpress wapi kuzuri kuagiza mizigo / kununua products?
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Agiza uchina wewe usave pesa acha uoga
Akun kodiVp kodi ya tra sh ngap?