MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
-
- #101
Kwa uo mkwanja Nokia 6.2 unaionaje?
Hicho tu mkuu ndo umeona muhimu?
Redmi note 10 kenya ni 385,000 kama Una mtu anakununulia kenya.hivi kwa budget ya 400k unapata redmi ipi kali?
Kwa uo mkwanja Nokia 6.2 unaionaje?
Redmi note 10 ni around laki 4, unaweza ongeza kidogo uka chukua version ya 128GB, ina kioo cha Amoled itakusaidia suala zima la kuangalia movies.Nahitaji simu yenye display angalau 6.5 maana nahitaji kuanza kushusha movie na Video mbali mbali.
Samahani kidogo mkuu kwa bajeti ya laki tano ilikuwa unatumia iphone ipi?Baada ya miaka kama 7 hivi kuwa mtumiaji mzuri wa ios phone (iPhone) hatimae huu mwaka nahitaji kujiondoa rasmi.
Sababu ya kujiondoa ni kutokana na kupangiwa baadhi ya mambo ikiwemo kunyimwa Uhuru kwenye chombo changu.
Maana siwezi kudownload Movie, Siwezi kudownload Nyimbo mbalimbali yaani wao ni mwendo wa Kula Bando Tu kila sehemu sasa nimeamua kujitoa rasmi.
Sasa Nimeamua kurudi kwenye Android zetu hizi zenye Uhuru wa kuifanya unavyotaka ila nimeshindwa kuchagua ni simu gani nzuri kuanzia utunzaji wa chaji, ubora wa Camera, na Speed ya internet kama 4G.
Nimejaribu kutembelea madukani nimekutana na Samsung nyingi lakini katika process ya kucheki specific zake nakutana na chip za MTK tu, nimeshindwa kuelewa inamaana siku hizi Samsung wameamua kuhamisha simu zao kutoka Qualcom Hadi kwenda Mtk. Na Mimi chip ya Mtk huwa siziamini kabsa.
Wadau naomba maoni yenu ni simu gani nzuri hapo
Oppo, Samsung, Nokia, Redmi.
Bajeti yangu ni Laki Tano.
Redmi note 10 ni around laki 4, unaweza ongeza kidogo uka chukua version ya 128GB, ina kioo cha Amoled itakusaidia suala zima la kuangalia movies.
Samahani kidogo mkuu kwa bajeti ya laki tano ilikuwa unatumia iphone ipi?
Kenya mkuu zinauzwa bei rahisi sana Sababu ni official wapo pale,Ahsante mkuu shida huku kwetu Redmi bei zimechangamka sana.
Mkuu hivi muvies nzur tunazipakulia site ipi, napenda muvi ila playstore kuwatch online ndio kazi matangazo kibao na sipati movies nzuriRedmi note 10 ni around laki 4, unaweza ongeza kidogo uka chukua version ya 128GB, ina kioo cha Amoled itakusaidia suala zima la kuangalia movies.
Kenya mkuu zinauzwa bei rahisi sana Sababu ni official wapo pale,
Mkuu hivi muvies nzur tunazipakulia site ipi, napenda muvi ila playstore kuwatch online ndio kazi matangazo kibao na sipati movies nzuri
#FAHAMU MFUMO wa Android kwa sasa unatumika na zaidi ya Vifaa Bilioni 3 duniani, hii inajumuisha simu, saa, magari, TV, tablets na vifaa vyote vinavyotumia mfumo huo.
#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari
#NipasheTehama https://t.co/oiYsOaeaFZ
Pitia hapa mkuuMkuu hivi muvies nzur tunazipakulia site ipi, napenda muvi ila playstore kuwatch online ndio kazi matangazo kibao na sipati movies nzuri
Sasa hapo nitaelewa kweli kwa uo uandishi
Hiyo tecno itakua ya huko bumbuli kwenuMkuu Ahsante Kwa kumfafanulia
Sasa najiuliza nimecheki hapa Samsung A32 5G ina chip ya Mtk na ukiangalia Mtk nyingi kama Tecno zinavyozinguaga baada ya wiki Tu zinaanza kustack na kupostop app Nimeamua Nikimbilie humu nipate aghalau mwanga.
[emoji28][emoji28][emoji28] kwanini? Mimi nashawishika kuingia huko, nasikia ni imara sanamfungwa wa kitajiri awa huru, simu za kisenge sana izo
Hiyo tecno itakua ya huko bumbuli kwenu
Japo situmii tecno lkn huo ni uongo
[emoji28][emoji28][emoji28] kwanini? Mimi nashawishika kuingia huko, nasikia ni imara sana