Bye bye ios

Samahani kidogo mkuu kwa bajeti ya laki tano ilikuwa unatumia iphone ipi?
 
Redmi note 10 ni around laki 4, unaweza ongeza kidogo uka chukua version ya 128GB, ina kioo cha Amoled itakusaidia suala zima la kuangalia movies.

Ahsante mkuu shida huku kwetu Redmi bei zimechangamka sana.
 
Redmi note 10 ni around laki 4, unaweza ongeza kidogo uka chukua version ya 128GB, ina kioo cha Amoled itakusaidia suala zima la kuangalia movies.
Mkuu hivi muvies nzur tunazipakulia site ipi, napenda muvi ila playstore kuwatch online ndio kazi matangazo kibao na sipati movies nzuri
 
#FAHAMU MFUMO wa Android kwa sasa unatumika na zaidi ya Vifaa Bilioni 3 duniani, hii inajumuisha simu, saa, magari, TV, tablets na vifaa vyote vinavyotumia mfumo huo.

#NipasheMwangaWaJamii #NipasheHabari
#NipasheTehama https://t.co/oiYsOaeaFZ
 
Mkuu Ahsante Kwa kumfafanulia


Sasa najiuliza nimecheki hapa Samsung A32 5G ina chip ya Mtk na ukiangalia Mtk nyingi kama Tecno zinavyozinguaga baada ya wiki Tu zinaanza kustack na kupostop app Nimeamua Nikimbilie humu nipate aghalau mwanga.
Hiyo tecno itakua ya huko bumbuli kwenu

Japo situmii tecno lkn huo ni uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…