Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili

Nina uhakika hii umefanya C&P
 
Nimetafuta kote kwenye andiko lako kaka kuona jinsi gani China walivyo fanya mapinduzi kwa iphone katika nyanja zenye tija kama
-software development
-Durability
-Capacity
-Efficiency
(Na mengine kibao wataalam wa IT wakija watayaweka vizuri)

Lakini sijaona lolote miongoni mwa hayo zaidi ya mbinu za kimapinduzi zinazo husisha kashafa za tuhuma pekee ..

Kwa kuzingatia hayo yote yaliyotajwa , ningelipenda ku conclude kwa kusema kuwa. “Stori hii ina Funza”
-
Nimeongelea kwa upande wa mbinu za kishenzi... Wakati akifanya haya sio kuwa alikuwa haboreshi brand zake umeona P20? Sasa mada yangu haikuwa huko ulikotaja wewe... Hivyo kama hujaelewa muktadha ulijikita kwenye nini lazima uone funza
 
nchi kama ,new Zealand,australia,uk zimeanza kuiblock huawei equipment kwa sababu za national security
na hivi juzi CFO wa huawei(ambaye ni mtoto wa mwanzilishi wa huawei) alikamatwa canada...
kwa sababu tanzania ni koloni la china sijui hali ikoje kwa watu wa tecno lazima watakuwa wanatuspy hawa wachina........
 
Ukisikia vita ya ya kibiashara ndio hii... Mchina kamuua iPhone, kampuni la kimarekani lililokuwa linauza simu za bei mbaya duniani kote... Simu za iPhone
Mchina baada ya kuona brand zake kubwa zinasuasua hasa Huawei huku iPhone zikibamba soko la China na kwingineko duniani, mchina akaja na fitina mbaya kabisa, chafu na ya kukarahisha....
Kwanza akaipromote simu yake ya Huawei, ikawa ni kampeni nchi nzima viongozi na matajiri wa china watumie Huawei kwakuwa ndio simu zinazowafaa watu wenye hadhi na nafasi katika jamii kama wao.... Taratibu sumu hii wakalishwa na wachina wengine kuwa ulitaka kuonekana wa maana basi tumia Huawei
Baada ya hapo ikaanza kampeni ya delete iPhone china... Kampeni hii iliambatana na kashfa ya kuwa iPhone ni simu za malaya na machangudoa... Hivyo yeyote anayetumia hizo simu kama hana hizo tabia basi ana vinasaba.. [emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikuwa ni kama kimbunga kikali sasa hivi iPhone 6 unaipata mpaka laki 5 wakati Huawei p10 si chini ya laki 7.... Tulio kwenye magroup ya biashara tunaona... Huawei kamfanya kitu mbaya sana iPhone....
Hasira ya mmarekani mzee wa kulipa visasi bado anatafakari dafrau hili
anatafakari?wakati mkurugenzi wa huawei keshakamatwa canada na usa wamesema aende usa akashtakiwe huko,mchina amempiga mkwara mzito mcanada..
 
Sasa mbona bei juu mzee, hizi marketing effort zako nimezikubali sana bro! Umetumia kitu ambacho wataalamu tunaita "buzz marketing." Lazma hio iphone ipate mteja ila ungefanya 300k ingependeza zaidi maana ni simu za malaya tu kwa sasa.
Trust me sio mimi nauza... Nisingeona shida kutangaza biashara, tuna group 4 za biashara WhatsApp na telegram... Sihitaji kufanya hivyo hapa
 
Nimetafuta kote kwenye andiko lako kaka kuona jinsi gani China walivyo fanya mapinduzi kwa iphone katika nyanja zenye tija kama
-software development
-Durability
-Capacity
-Efficiency
(Na mengine kibao wataalam wa IT wakija watayaweka vizuri)

Lakini sijaona lolote miongoni mwa hayo zaidi ya mbinu za kimapinduzi zinazo husisha kashafa za tuhuma pekee ..

Kwa kuzingatia hayo yote yaliyotajwa , ningelipenda ku conclude kwa kusema kuwa. “Stori hii ina Funza”
-
Is Chinese propaganda agents
 
Back
Top Bottom