Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina


Nina uhakika hii umefanya C&P
 
Nimeongelea kwa upande wa mbinu za kishenzi... Wakati akifanya haya sio kuwa alikuwa haboreshi brand zake umeona P20? Sasa mada yangu haikuwa huko ulikotaja wewe... Hivyo kama hujaelewa muktadha ulijikita kwenye nini lazima uone funza
 
nchi kama ,new Zealand,australia,uk zimeanza kuiblock huawei equipment kwa sababu za national security
na hivi juzi CFO wa huawei(ambaye ni mtoto wa mwanzilishi wa huawei) alikamatwa canada...
kwa sababu tanzania ni koloni la china sijui hali ikoje kwa watu wa tecno lazima watakuwa wanatuspy hawa wachina........
 
anatafakari?wakati mkurugenzi wa huawei keshakamatwa canada na usa wamesema aende usa akashtakiwe huko,mchina amempiga mkwara mzito mcanada..
 
Sasa mbona bei juu mzee, hizi marketing effort zako nimezikubali sana bro! Umetumia kitu ambacho wataalamu tunaita "buzz marketing." Lazma hio iphone ipate mteja ila ungefanya 300k ingependeza zaidi maana ni simu za malaya tu kwa sasa.
Trust me sio mimi nauza... Nisingeona shida kutangaza biashara, tuna group 4 za biashara WhatsApp na telegram... Sihitaji kufanya hivyo hapa
 
Is Chinese propaganda agents
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…