iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
hahaha u right. iam a man of technology . thats my field as since am a comptr engineer. and i am a social moving person . that has travelled most parts. aendelee kujidanganya. iphone is most loved ikifuatiwa na samsung ndan ya china . wachina wanajua mziki wa iphone vzur. sio kama nawatetea iphone ila thts the truth. fanya research ukiwa ndan ya china n not feeds za internetUnaweza kuwa china na usijue kinachoendelea
Hizo nazo ni simu au kitu ganisamngis nazo si za china?
IPhone bado inashika sana China MkuuChina sio Tanzania my friend, fuatilia mjadala uelimike kuishi Guang-zhou sio kuishi Yi Wu au Tian jin... Hata wachina wenyewe hawaijui nchi yao kwa mapana na marefu yake... Kuna watu wanezaliwa Dar na kukulia dar lakini hawajui kuna viongozi wa dini na siasa wako lockup
Gb 32 nilinunua 350,000/- full box[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unawafamu wachina au unawasikia?
IPhone 6 hiyo 64gb kwa 450 tuView attachment 973279
Duu ni mdada kumbe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Inaitwa iPhonemania
Let's be a bit serious guys... Tunapozungumzia China... Hunan jimbo lisilojulikana sana population yake ni million 100+... Tanzania nzima tuko million 50 hivi..IPhone bado inashika sana China Mkuu