Bye bye iPhone.... Hutamsahau Mchina

Oppo wana simu nzuri ika hii f9 hamna simu
Ukishaona simu inatumia chipset ya mtk ujue hamna kitu
Mkuu sio mtk zote ujue hamna kitu. Mtk p60 ipo vizur sana kuliko ata qlm 636. Huwa inategemea hyo simu ina chipset model ipi ndo uje useme kwel mtk zote hamna ktu
 
Mchezo huu hautaki hasira
 
Inauzwaje?
Kiukweli Mimi nipo Huawei, iPhone sijawai kushawishika nilianza na p9 lite nikaja p10 na sasa ni p20 pro kitu cha 128gb betr inakaa zaidi ya 24hr.ram gb 6.simu aipati moto..... IPhone anasubiri
 
mshana Jr pakua apps ya mr phone kwenye android alafu kaangalie simu ambayo kwa kila sifa ni hipi kama sio iphone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…