Bye bye my Tanzania, bye bye my fellow members, truly gonna miss u

Watu mapovu humu. Hahahaha. Chezea msoto ww.

Bongo bila capital utasubiri sanaa.Dogo nenda uendako ila jua hela iko Tanzania.
 
Na cha ajabu mtu anaenda canada hata ajui kama jf inapatikana popote duniani,,
Hapo atakua kalagha bao!!!

Mimi nipo Mars na ninaipata Jf.........nini Canada bana.............

Hebu mweleze!!!
 

Walimu walikuwa wakali mno aisee utadhani jeshini..kha! tulikuwa tukimaliza la7 tunafanya picnik porini huko du!
 
Na yule mzee aliyehama na familia kutoka Bukoba kwa gari kupitia Uganda Kenya hadi Dar. Kitabu cha English.
 
Watu mapovu humu. Hahahaha. Chezea msoto ww.

Bongo bila capital utasubiri sanaa.Dogo nenda uendako ila jua hela iko Tanzania.

wa2 wanatoka pov. hawajawah hta kupanda ndege. mi naenda kumalzia secondary, high skul na uni uko.ntanak uko uko. itakua rahc kupata kaz nzur au co ivo?
 
wa2 wanatoka pov. hawajawah hta kupanda ndege. mi naenda kumalzia secondary, high skul na uni uko. itakua rahc kupata kaz nzur au co ivo?

Yap..ila ukisha zichanga + exposure & experience rudi Tz. Ur still young hutojutia. Unless unataka urudi nguvu zimekuisha na box la perfume sijui vi laptop etc.
 
Sikuwahi kuwaza kama kuna member kama huyo humu jf.
 
angalia tu usituaibishe watz...ukawa unafanya vituko ...hakikisha ukirur unakuja kukomboa nch yko. pigana mana uko upo kwa kodi zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…