hippocratessocrates
JF-Expert Member
- Jul 1, 2012
- 3,598
- 1,544
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
Bye mwaya. Usisahau kucheck in FB ili tuone safari ya matumaini ilivyo ndefu
Ha ha haaaa yu min mi photo asaid ovo windo. . . . . . .!!!!!
Te te tee ushamba kazi sana. Kila mtu angeaga Jf pasingetosha
Humu ndani ni kupigana vikumbo na wanao tu....
Dogo kuhama kwema
hehe feelings will be caught. Anyway, kuna home sickness, JF ipo kuipunguza so usiage just yet.
Mkuu we mbeba box nn:what:Yap..ila ukisha zichanga + exposure & experience rudi Tz. Ur still young hutojutia. Unless unataka urudi nguvu zimekuisha na box la perfume sijui vi laptop etc.
nnawaaga my fellow memberz kesho 2nasafir mi na wazaz wngu na wadogo zangu 2nahama tanzania. wazaz wangu wanaamishia makaz canada kikaz. ntamaliza my secondary ed & uni uko uko mungu akpenda. cna uhakika km ntarud tena tanzania. ntawamiss sna. luv u all
Utakua canada sehemu gani maana hata mimi niko canada niwe mwenyeji wako.
Nipm email yako mtoto mzuri..