"Bye Daddy"...... Dah!!!



Ha ha ha hahaa hommie mi nimeona hapo kwenye nyekundu tu..
 

U nailed it!
 
Na Ma matesha, honey moon
ya jubilei ya miaka mingapi vile?
Mpaka akomeshwe tena.
Byee Dadyyy
 
Yeye mbona mkorofi? Kwanza nina hasira nae....
hahaaa, ugomvi wenu na babu me siuwezi.

Jamani Madabwada ako busy, but he is good na salamu zimefika.....
nashukuru kama salamu zimeshafika punde hii ... kwa kumuenzi babu "with this wonderful thread", naomba pia leo umsikilizishe mzee ile kitu mpya ya jahazi 'my chocolate'.
 
Babu mbona unanichunia kama hujaniona leo? tuna ugomvi?
Nimekuchuniaje mpenzi? Niko hapa nawasomeni huku namtumikia mkoloni. Nikuchunie tena? Afu niinjoi na nani?
 
Bye Ndovu.....dah!
Watu wanatumia uhuru wao..........halafu katiba inaruhusu...

sharing is..............sasa Mwenyekiti mwenyewe kashakuwa dictator....sijui....!!!
 
lol, inabidi ujipange mamie, kama ni mzee wa kiti kirefu kama babu yetu then wenyewe wanasema lazima ataanza binti tu!
Khaaaaaa!
Mbona hii theory siifahamu!!!!
Ayaaaaa,kwisha habari yangu lol!
Itabidi nijiandee tu km hiyo formula ni valid lol!
 
nna kabiti kakike ka darasa la tano, mama ake akimuamsha asubuhi hataki mpaka dady niende kumuamsha, asubuhi kabla hajaenda shule anywi chai mpaka niwe nae mezani, nikichelewa kurudi nyumbani usiku mama atakoma, ataiba simu ya mama yake anipigie aulize niko wapi. she is the only kid at home at the moment.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…