Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Habari za leo wakuu,
Natumai mnaendelea vizuri ndugu zangu.
Nahitaji kujua cadet (kadet) za ubora wa juu (high quality) zinazouzwa Tanzania zinatokea nchi gani?
Pia nahitaji kujua aina za cadet (kadet) zinauzwa Tanzania kwa sana.
Kadet za kuvutika (elastic) na zile ambazo sio za kuvutika (non elastic) zipi zinapendwa sana hapa Tanzania.
Ahsanteni
Karibuni kwa majibu ndugu zangu.
Natumai mnaendelea vizuri ndugu zangu.
Nahitaji kujua cadet (kadet) za ubora wa juu (high quality) zinazouzwa Tanzania zinatokea nchi gani?
Pia nahitaji kujua aina za cadet (kadet) zinauzwa Tanzania kwa sana.
Kadet za kuvutika (elastic) na zile ambazo sio za kuvutika (non elastic) zipi zinapendwa sana hapa Tanzania.
Ahsanteni
Karibuni kwa majibu ndugu zangu.