olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,572
Ni vizuri kwanza ukawajua wateja wako.sio bongo mkuu naulizia nchi zinakotokea hizo Cadet ili nizinunue huko
cadet OG kabisa hapa bongo bei ni 150+, maduka ya mlimani city na kwenye ma-mall. hizi hutokea sana sana uturuki
fake grade one (hata fake nazo zina grade) hizi hupatikana china. kuanzia sh 35-50 kulingana na maduka
fake grade 2 kuanzia 25-30
fake ya mwisho kuanzia 15-20
sasa hapo kama ww ni mfanyabiashara unaangalia purchasing power ya wateja wako.
maana zote hizo zina wateja wake