CAF AWARDS 2023: Taifa Stars kuwania Tuzo ya Timu Bora ya Taifa, Yanga Klabu Bora ya Mwaka

Raja alifika nusu fainali msimu uliopita?
Nusu fainali ni 8 kwa pande zote,hapo kuna timu 10 so 2 azikufika nusu fainali ila kuna vigezo vilivyofanya wakaingia hapo kutimiza idadi ya timu 10,marumo yuko hapo kwa kufika kwake nusu fainali,hapo hamna viti maalum km kule kwenye super league jomba
 
Hongereni Uto...mnastahili hiyo tuzo kabisa.
 
Hakuna viti maalum ila kuna timu 2 zimeingia kutimiza idadi ?
 
Mwisho yanga atachukua yes tutabeba
Simba wajiandae kubebwa na tatu
 
Utopolo derby wameichukulia serious sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…