π€£π€£π€£Malamiko fc
Nchi hii siiweziπClub kubwa zinafanya makubwa wapi mikia fc!?
So tunakubaliana Mamelod,Wydad, ES,Al Ahly ni timu ndogo.Kuwepo kwa marumo hapo tayari ondoa neno wakubwa, hiyo ni tuzo tu ambayo haihusishi ukubwa wowote
Hii tumestahili kutokana na mafanikio yetu, nyie ile superleague ilikuwa ni kama viti maalumHaya utopolo super league yenu hiyo
Hapo wameangalia walio ingia nusu ,sio akina Mwakarobo. Haya kuna nyingine hii hapa.... Diarra.Haijawekwa kwa mlengo wa ukubwa maana marumo na Yanga wasingewepo hapo ?
Una cancer ya akili, Raja hiyo nusu fainali alicheza na timu gani msimu uliopitaHapo wameangalia walio ingia nusu ,sio akina Mwakarobo. Haya kuna nyingine hii hapa.... Diarra.View attachment 2800099